Yamenikumba....

Munkari hahahaha usifanye mchezo.kumbe tukiwa tumelala kwenye daladala ile alfajiri wenzetu wanatucheka na ma white vog yao kumbe rahisi tu ukienda morogoro na wewe wapata.tena nauli buku sita tu.
 
Haahaahaahaa! Aiseee nkucheke kwanza! Tehtehteh! Mana umeyataka ungekaa ukakituliza hicho kisukumio chako kwa mkeo ungekufa? Na aendelee kabisa kuna siku atakwambia utembee uchi hadi kwa mkeo na utatembea! Alaah!
 
Munkari hahahaha usifanye mchezo.kumbe tukiwa tumelala kwenye daladala ile alfajiri wenzetu wanatucheka na ma white vog yao kumbe rahisi tu ukienda morogoro na wewe wapata.tena nauli buku sita tu.
Kwa kulala kwenye Daladala maana yake we wala hukai karibu na posta... lazima utakuwa unavuka vile vibao maarufu visemavyo... SASA UNAINGIA MKOA WA PWANI, KWAHERI DAR ES SALAAM (Hii ni jioni unaporudi), au..... sasa unaingia mkoa wa dar es salaam, kwa heri mkoa wa PWANI (Hii unapokwenda kazini asubuhi)...

Hayo yote ni eidha direction ya Bagamoyo, Lindi, Kisarawe, Kigamboni au Kibamba
 
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??

KUCHAMBACHAMBA kwingi mwisho hukamata MAVI. Ndio haya yaliyokukuta.
 
  • Thanks
Reactions: awp
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??


bro nina nia ya dhati kabisa ya kukusaidia,NILETEE PEDI AMBAYO KAISHAITUMIA,ATAKIMBIA MWENYEWE MMMM MMMAMMMAE
 
Haahaahaahaa! Aiseee nkucheke kwanza! Tehtehteh! Mana umeyataka ungekaa ukakituliza hicho kisukumio chako kwa mkeo ungekufa? Na aendelee kabisa kuna siku atakwambia utembee uchi hadi kwa mkeo na utatembea! Alaah!
Boflo achezea kukamuliwa shahawa, naona zilijaa la kondom. sijui alimiminia kwenye kikombe
 
Last edited by a moderator:
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??

Hahahahaaaa. Duh! Usisumbuke Jembe! Mbona dawa umeshaipata, usitakekupoteza hela zako kwa mara nyengine teynaaa!
Kwa vile umelitambua hilo, ni dawa tosha! Embu kumbuka kirikuu aliambiwaje na babu yake "...utambuzi siku zote humtoa mtu kizani...."!
Akija mvalie sura ya mbuzi!
 
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
:smile-big:mi nilidhani atajipandikiza nazo apate ujauzito kumbe kaenda kukupiga juju....
 
Duh! Huyo wa kumkwepa tu, jitahidi sana usikutane nae, jinsi siku zinavyozidi kuyoyoma, na nguvu za Sangoma zitapungua...

Home
 
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??

Mungu anahitaji umjue yeye............sali sana juu ya hilo.Usiende kwa mganga na wewe!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom