Strawberry
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 274
- 108
Munkari hahahaha usifanye mchezo.kumbe tukiwa tumelala kwenye daladala ile alfajiri wenzetu wanatucheka na ma white vog yao kumbe rahisi tu ukienda morogoro na wewe wapata.tena nauli buku sita tu.
Kwa kulala kwenye Daladala maana yake we wala hukai karibu na posta... lazima utakuwa unavuka vile vibao maarufu visemavyo... SASA UNAINGIA MKOA WA PWANI, KWAHERI DAR ES SALAAM (Hii ni jioni unaporudi), au..... sasa unaingia mkoa wa dar es salaam, kwa heri mkoa wa PWANI (Hii unapokwenda kazini asubuhi)...Munkari hahahaha usifanye mchezo.kumbe tukiwa tumelala kwenye daladala ile alfajiri wenzetu wanatucheka na ma white vog yao kumbe rahisi tu ukienda morogoro na wewe wapata.tena nauli buku sita tu.
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
boflo toa namba watu wachangamkie tenda
Boflo achezea kukamuliwa shahawa, naona zilijaa la kondom. sijui alimiminia kwenye kikombeHaahaahaahaa! Aiseee nkucheke kwanza! Tehtehteh! Mana umeyataka ungekaa ukakituliza hicho kisukumio chako kwa mkeo ungekufa? Na aendelee kabisa kuna siku atakwambia utembee uchi hadi kwa mkeo na utatembea! Alaah!
asakuta same wewe mbona hujabadili namba washauri tu wenzio?
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
He he he, ngoja baresa akilazwa niongee na madokta wamkamue afu nizipeleke Morogoro, mtaniona na Lirenji limeandikwa 'Konnie'
:smile-big:mi nilidhani atajipandikiza nazo apate ujauzito kumbe kaenda kukupiga juju....Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush......
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua.....
Nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa...
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo...
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko...
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.......
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??