Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Hiki kipindi nimekisikia kwa mara ya kwanza nilivyokua Bongo kwa likizo mwezi Desemba. Kilinikuna sana moyo
Wale wadada watatu Regina Mwalekwa na wenzake, ni mahiri sana katika kukiendesha. Naweza kusema ni kati ya vipindi bora vya redio Tanzania. Wana uwezo wakugusa sehemu mbali mbali za jamii.
Je wewe? Je unakipindi cha redio unachopenda?
Wale wadada watatu Regina Mwalekwa na wenzake, ni mahiri sana katika kukiendesha. Naweza kusema ni kati ya vipindi bora vya redio Tanzania. Wana uwezo wakugusa sehemu mbali mbali za jamii.
Je wewe? Je unakipindi cha redio unachopenda?