Yaliyomo yamo

Injinia

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
849
26
Hiki kipindi nimekisikia kwa mara ya kwanza nilivyokua Bongo kwa likizo mwezi Desemba. Kilinikuna sana moyo

Wale wadada watatu Regina Mwalekwa na wenzake, ni mahiri sana katika kukiendesha. Naweza kusema ni kati ya vipindi bora vya redio Tanzania. Wana uwezo wakugusa sehemu mbali mbali za jamii.

Je wewe? Je unakipindi cha redio unachopenda?
 
Back
Top Bottom