Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Baki na makufuli funguo zipo m4c
Kwa maana nyingine wao wanafunga na cdm wanafungua!
Baki na makufuli funguo zipo m4c
Nani amekwambia tumekuja kumtangaza Rais Mwanza! Acheni kuweweseka, mlidhani wasukuma ni wajinga wa kuburuzwa tu, Magufuli ni kabila lilelile la CCM, hatumchagui ng'oooo
Huu uzi unakimbia kama fast jet
Kumbe mwanza kuna wamachinga wengi kuliko dar naona vijana wa kijiweni tupu kwenye mkutano huu wa historia kufanywa tanzania sioni hata wamama wazee na watu wazima wenye heshima zao nadhani bora usingerushwa LIVE
Atakusamehe usijali ukitubu kwa dhati hakika utasamehewa...ulisoma vzuri...ukaishi vzuri na mpaka sasa unaishi vzuri kwa dhaluma ya watanzania...sijui kama ulishawai lala njaa..mimi nimeshalala njaa mara nyingi tu...ukishaenda shule pekupeku wewe...sidhani...watanzania wengi sana walishapitia hayo maisha....ulishaweka kiraka kaptula ya shule...sidhani...wengine walishaweka mpaka kitambaa halisi kikatoweka...muombe Mungu akusamehe wakati unakula raha kwa jasho letu tuliotoa hilo jasho tulikuwa tunashindia uji na kulalia kipande cha jimbi pori....mungu akusamehe kwa sababu umetambua dhambi iliyofanywa na mzazi wako....nakuomba umwambie na yeye akitubu kqa dhati baba yetu mwenye huruma atamsamehe....angalie aaije akafa na hiyo dhambi...
Huo ndoo ukweli
swali lako nimelipenda sana. mkuu mimi sina chama ila siku zote siipendi chadema. chuki zangu zilianza pale nilipoona chama kimekuwa cha majungu na miungu watu na hasa baada ya kuwaundia zengwe akina Zitto, Mwigamba, mkumbo na Kafulila na kuwafukuza. CUF walimfukuza Hamad lakini walimpa nafasi ya kujitetea, hata kama alikataa kwenda kuhojiwa na baadhi ya vikao lakini walimpa hiyo nafasi. hicho sijakiona wakati chadema wakimfukuza Zitto. hata mwigamba alinyimwa hiyo nafasi baada ya kupangiwa siku ya jumamosi huku wakijua fika ni msabato na sote tunajua taratibu za wasabato zilivyo siku ya j'mosi.
Nikajiuliza chadema pale ilipo huwezi kuitenganisha na michango ya watu wawili (na watatu) kwa maana ya Zitto na Slaa (na Kikwete-hilo nitalieleza upon your request). lakini Zitto kutumia haki yake kikatiba kugombea uongozi ndo iwe nongwa na kumtukana humu mitandaoni na baadaye kumuundia zengwe na kumfukuza? tunaambiwa humu kuwa hata yule dogo aitwaye ben saa8 alipewa hata kazi ya kumwekea sumu. nikajiuliza inawezekana kabisa hata yule dogo aitwaye deus malya alipewa jukumu la kumwahisha chacha wangwe ahera nini?!
Mbona CCM wanamakundi mengi sana tena mengine hata siyo mazuri lakini wameweza kuhandle, imekuwaje kwa chadema tena kwa watu potential kama Zitto na mkumbo wanafukuzwa kama mbwa bila sababu za msingi?
nikajisema kimoyomoyo kuwa hiki chama ni kiini macho na kuna miungu watu pale. itakuwa makosa sana kama kikipewa mamlaka ya dola maana haitachukua muda tutatumbukia kwenye machafuko. kwa hiyo siko CCM wala ACT. na wala hata kadi sina. japo nina kadi yangu ya kura mkononi kama ninavyofanyaga miaka ya nyuma. na oktoba nitapiga kura.
Najua wewe ni mwanachadema kindakindaki lakini tuvumiliane tu kwa hilo.
Kaanzie Moshi na Arusha, sisi wa Kanda ya Ziwa tumeishamaliza kazi yetu tunasubiri kwenda Dar kumuapisha Magufuli kama rais wa awamu ya tano,
Kwa goli la mkono naunga
100%
Mna homa ya Lowasa na Slaa inawasumbua nyie mbona bado sana!
Mimi mpaka sasa nashauku kubwa nataka kujua sababu zilizopelekea ilani ya ccm na ahadi lukuki za kikwete kwa nini hazijakamilika wangeanza hapo halafu waendelee pia kama walitoa ahadi ambazo fika walijua haziwezi kukamilika vipi tuwaamini sasa.CCM NI CHAMA KINACHOLAGHAI WATU LAKINI SIO CHAMA MAKINI.Halaf bado wanakuja na ahadi hizo hizo miaka hamsni ya uhuru,bado unawaambia watu utalete maji,utajenga daraja,SHAME ON YOU
hivi huko Mwanza ninini hasa kilichoongelewa
km sio kuchanganyikiwa na kumnanga Magufuli na kusahau UKAWA
mbona Rais wa UKAWA au CHADEMA sijamsikia kutangazwa
CUF walishajitoa wao wako na LOWASSA
CUF yamsafisha na kumkaribisha Lowasa - wavuti
Mkuu hata hilo goal la mkono litashindikana,watanzania hatudanganyiki tena
Ccm kwa sasa itabidi watafute kanda nyingine ya kujivunia badala ya kanda ya ziwa