Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,734
- 20,483
Upo sawa kabisa, tatizo ni kwamba hakuna uhusiano wa yaliyosemwa huko zamani na hali halisi inayoendelea uraiani. Watu wameamua kumchagua ENL bila ya kujali aliitwaje na nani na sasa anaitwaje na nani. Ukiendelea kubishana na hali halisi utaumia moyo wako bure na utajikuta unashindwa kuendesha maisha yako. Heri kubaki kimya usipige kura kuliko kubishana na hali halisiAcheni zenu.. Mnataka mtu ambaye Ni fisadi apewe Nchi? Kamanda Wa Anga mbowe, Na wenzio mmetuaminisha miaka nenda rudi kuwa ENL Ni Fisadi, hafai kupewa nafasi ya kutuongoza iweje Leo mumkubali aingie madarakani? Tena kupitia Chama chetu tukufu?