Sammy
Senior Member
- Jul 19, 2014
- 132
- 58
Nje ya Mada;
Kama aveta yako isemavyo, weye kila kitu ni nje ya mada. Sasa kamwambiye huyo Mbowe hayo yako ila wengine weshaamua. Hata angeletwa Shetani kugombea, tungempa kura. Tunachotaka ni MABADILIKO tuuuuuu. Yaletwe na nani si hoja hapa. Hoja ccm out tuuuu. Awe fisadi, awe shetani, awe mgonjwa mahututi lakini amtoe ccm madarakani
Aisee! Sijui umejuaje na mimi nilitaka kumpa jibu kama lako!
Viva Lowasa viva!
#L4P #