Panizo
Member
- Jul 1, 2011
- 89
- 35
Mhhhh yaniii ni shidaaaa... Kupoteza Muda tuuuu uku.. Uchaguzi wa urais umeshaisha NEC wajikite kwenye ubunge na udiwan...... White hair white house.... Viva Lowassa...... Kwel nimeamini watu ufuata majira na siyo majira ufuata watu... Edo hachafukiki na wala hazuirik.... When God says yes no one can say otherwise.....