Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

Acheni zenu.. Mnataka mtu ambaye Ni fisadi apewe Nchi? Kamanda Wa Anga mbowe, Na wenzio mmetuaminisha miaka nenda rudi kuwa ENL Ni Fisadi, hafai kupewa nafasi ya kutuongoza iweje Leo mumkubali aingie madarakani? Tena kupitia Chama chetu tukufu?

Sawa ni mwizi lakini tumemsamehe tunataka mabadiliko
 
Mawakala na wagombea wadhibiti vituo hewa na kwenye kuhesabu wahakikishe idadi ya waliopiga kura inaendana na waliotikiwa kwenye daftari! Maana kwa wale ambao wako kwenye daftari na hawakupiga kura mchezo mchafu unaweza kufanyika kama mawakala hawatakuwa makini sana.
 
Back
Top Bottom