xuxu meyu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 426
- 366
Nasema mmemwaibisha lowasa hiyo nikweli kamati ya ccm mlikua mnajua kua hatapita au hana sifa na kwa jinsi alivyo kua gumzo kwa wana nchi wenu japo mngemwacha aingie hata tano bora hata nyinyi pia msingeonekana kua mlikua mnajua nani hapiti nani anapita