kichema
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 137
- 39
ATHARI GANI INAELEKEA KUTOKEA KWA CCM NA KWA NCHI?
Hakika Katika Hili Hakuna Jinsi Na Wala Tusipepese Macho Wala Kutikisa Masikio Kwamba Ni Dhahiri CCM Wasipojipanga Na Kulimaliza Hili Chama Kinaweza Kupoteza Umaarufu, Wabunge Na Kikaathirika Na Kuna Hatari Pia Ya Kutokea MPASUKO Mkubwa Ambao Pia Utahatarisha Hali Ya AMANI Ya Nchi Na Kuelekea Hata Katika Machafuko Na Kuna Kila Dalili Kama Hali Hii Haitotatuliwa Serikali ITATIKISIKA Na Kuwapa Mwanya Jeshi Kuchukua USUKANI Kwa Muda.
Weee nchi hii si ya LOWASA wala MEMBE ni ya WATANZANIA. Lowasa awe gentleman kama Mh. Mwandosya akubali matokeo. Kulikuwa na wagombea 38 waliorudisha fomu na bado 33 hawajalalamika. Lowasa anataka kufanya nini na rushwa yake na Gwajima mzee wa poda na Kingunge.
Nchi hiko imara na Mh. Rais ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na kwa tukio hili ameturejesha wengi CCM na tunamuunga mkono. Hatuwezi kuongozwa kwa mafuriko.
Yaone mateso haya tuliyo nayo ya dhuluma na ufisadi. Lazima ifike mwisho na Mungu atatusaidia. AMENI