Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Mkuu achana nae huyo. Watu wengi humu ndo walivo ukipinga hiki kilichofanyika tu wanajua kuwa wewe ni Team Lowassa. Hawajui kuna watu humu hawatiliwagi mashaka post zao coz ni watu wa facts na sio ushabiki.Nadhani Wewe Utakuwa Ni Mgeni Kwangu Na Kama Siyo Basi Utakuwa Ni Bonge La POPOMA Tena LILILOTUKUKA. Hakuna Ambaye Hajui Humu JF Kuwa Mimi Si Mtu Wa Lowassa au Membe Na Tokea Mwanzo Nilikuambia Na Hadi Nikaweka Nadhiri Humu JF Kuwa Lowassa Hatopita au Kupitishwa Na Nikaenda Mbele Zaidi Kusema Kuwa Mgombea Wa CCM Lazima Atatoka Kati Ya Dr. Magufuli au Professor Muhongo au Professor Mwandosya Na Maprofesa Wawili Wameshakatwa Na Kabaki Mtu Wangu Mmoja Tu Dr. Magufuli Na Ndiyo Huyo Huyo Atapitishwa Na CCM Tena Kwa Kura Nyingi Tu. Ukitaka Kuamini Haya Jaribu kupitia Posts Zangu Ujiridhishe. Na Kumtetea Lowassa Kama Kwanini Amekatwa Yawezekana Kwakuwa UELEWA Wako Ni Ndogo Pengine Kama Punje Za Mchanga Hukunielewa ILA Nilichokuwa Nakisisitiza Katika Hoja Yangu Ni Kitu Kiitwacho Political Equilibrium Ambapo Walitakiwa Ama Wote Wabakishwe ILI Waje Kuchinjiwa Katika 5 Bora au Basi Wote Wasiwepo Ili Kuwamaliza Kinguvu Lakini Kumwacha Mmoja Akipeta Ni Kuleta Hatari Na Mpasuko Mkubwa Ndani Ya Chama. Ni Imani Yangu Kwa Maelezo Haya Ya Kiufafanuzi Basi UPOPOMA Wako Sasa Utakuwa Ni Historia Na Tutaenda Sawa.
Watu wanashindwa kuelewa kuwa sio kwamba tunapinga Lowassa kukatwa la hasha tunachopinga ni kumkata Lowassa na kumuacha Membe wakati wote ni watu wale wale na uthibitisho ni kwamba chama kilekile juzi tu waliwafungia kwa mda kutokana na mambo yao yaleyale wanayoyafanya.
Wanashindwa kujifunza tu kwenye scenario ndogo iliyotokea wakati wa uchaguzi wa TFF pale Malinzi alikwatwa na mwishowe akaishia kupata public sympathy na kushinda uraisi.
Jambo kuu hapa ni kuwa wote Lowassa na Membe walitakiwa wakatwe, sasa kumkata mmoja na kumuacha mwingine yale maneno kuwa hizi ni fitna yanapata nguvu na siku ya mwisho public sympathy inamnyanyua mtu hata kama kiuhalisia sio msafi.