We miss Late Regia Mtema umakini wako haujazibwa.Tunaye Makene lakini mhhhhhhhhhhh!!
Uwanja wa Rwanda nzovwe maarufu kama uwanja wa Dr. Slaa umefurika katika mkutano ambao Dr. Slaa, sugu, Highness Kiwia, Wenje na Rev. Msigwa
Ratiba inaonyesha leo jumatano kutakuwa na mkutano mkubwa wa CHADEMA Mbeya. Na Lissu leo ataungana na makamanda wenzake kuhutubia mkutano huo.
Na pia kulikuwa na taarifa humu jukwaani za zuio la mkutano huo toka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya.
Tafadhali tunaomba mlio Mbeya mtujulishe.
We miss Late Regia Mtema umakini wako haujazibwa.Tunaye Makene lakini mhhhhhhhhhhh!!
Nipo kwenye gari hapa foleni inaelekea mkutanoni!!! ndio habari ya mjini sahizi kuwa chadema wana mkutano hapa Mbeya!!
Mkuu, kamanda Tumaini Makene anakuwa na mambo mengi, mtu yoyote anaweza kutupatia updates kama ilivyo kawaida yetu, kamanda anajitahidi kufanya hivya kadri inavyowezekana...
Tumpe Mungu utukufu.