Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Hivi nyie huko dodoma mnajuwa kuwa mnatukera sana?
Haki ya nani ngoja tuje huko na bakora tu ndo mtaelewa kuwa tumewachoka.
Mnakula pesa yetu for nothing.......... grrrrrrp!!!!!!!!!!
Nani atusaidie watanzania
Pesa yetu inaliwa tu bure
Wanasiasa wameamua kutudhulumu pamoja na umaskini wetu
Ila sisi watanzania wajinga mno
Tutaishia kuongea tu