Yalitokea kwa Joyce Banda, Rais wa kwanza mwanamke nchini Malawi kuna la kujifunza

Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Hiyo sehemu fulani wameanza na ziara ya 'Royal Tour' na kurudisha mawaziri incompetent madarakani :mad:
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Malawi kuna upinzani; Tanzania kuna wachumia tumbo. Shaka Hamdu Shaka anasoma analysis yako na kukucheka tu
 
Unasahau kusema kuwa Joyce Banda alihama Chama kilichompa madaraka akahamia chama kipya akiwa Rais
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
 
Siasa za Malawi ni TOFAUTI sana na Tanzania.

Ni vizuri kuwa na ndoto lakini angalau zifanane na uhalisia.

Tanzania hata Rais akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna kitu MTAFANYA.

Kwa lugha rahisi, Hakuna kundi lolote la kisiasa unaloweza kusema Ni TIIFU kwa wapinzani wa Serikali.

Kuanzia Wasanii , Team za Mpira ( Simba & Yanga ), Matajiri, Vyama vya wafanyakazi, Wanawake, Wanazuoni, Viongozi wa dini ( CCT, TEC, EAGT, TAG, BAKWATA ).

Kwa lugha rahisi, ili uweze kuipa serikali Kash Kash unatakiwa kuwa nguvu ya kuamrisha UMMA ukakutii.

Lakini Kama anakamatwa Mwenyekiti Hakuna mtu anaingia barabarani kushinikiza atoke. Kila mtu anajifanya mwanaharakati nyuma ya keyboard, mpaka anatolewa kwa huruma tu ya aliye mweka.

Katika mazingira hayo, unadhani Kuna INFLUENCE yoyote yenye madhara.

Achaneni na NDOTO ZA ALINACHA.

FACE THE REALITY.
Kama kuna MTU atashindwa kuamini haya uliyoyaandika basi atakuwa ana mapungufu makubwa kichwani !!!
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Umenena ukweli huyu wetu elimu yake ni ndogo kma ya lusinde au msukuma,mpka 2025 atakua amechoka sana...spika nae ni mzigo akili na sura yake kma mjusi kafiri
20220516_233105.jpeg
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Dunia ya Sasa 2025 Tanzania haitamhitaji Samia I tell you, Ikulu inahitaji mtu makini hasa mwanaume ambae ataelewana na makamanda walinzi wa taifa kwa weledi hasa, ni ngumu kuelewa kwa sasa, namkubali Madam Samia sana tu ila sio kuwa Rais wa nchi hii 2025. World dynamics tulizo nazo hakika haziwezi niwe mkweli kabisa 2025 hatasimama yeye, Mgombea wa CCM yupo na ni mweledi anaelimu nimjuzi, anasifa zote, na yupo tayari kwa nafasi hio. Tusubiri wakati.
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Unayosema ni kweli lakini usitegemee hilo kutokea tanzania taifa la watu waliolala usingizi wa pono, hilo linalotokea sasa hivi la wabuge cvd 19 kwengineko tayari wananchi wangekwisha chukuwa hatua hapa ni maneno tu na mastori kwenye vyombo vya habari na hata ikifika uchaguzi ndo hayo hayo hakuna tume huru wala uchaguzi huru huyo huyo atajipa ushindi wa aslimia 82
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Safari hii nitapiga kura hata kama itaibwa/ kuchezewa ujumbe utakuwa umefika!!
 
Itakuja tuu, wakiingia watu laki moja barabarani unafikiri CCM na dola yake watafanya nini?watapiga piga lakini hakuna zaidi ya hapo, na ukiua maelfu ndio utakuwa mwisho wa CCM na utafunga wangapi? na kwa dunia ya leo mambo ya LIVE ndio utakuwa mwisho wa CCM na serikali yake, nakuhakikishia siku watu wakiamua kuingia barabarani kwa number kubwa kama laki moja au zaidi kutakuwa hakuna cha polisi au dola na hapo ndio utajua nguvu ya umma ni nini
Hao watu Laki moja watatoka wapi?

Jaribu kufikiri.

Siku zote maandamano serious huwa yanaletwa na waandamanaji waliohamasika na kuwa brainwashed kupitia aidha DINI au KABILA.

Hivi vitu hapa Tanzania ni ngumu.

Utawaunganisha watu kupitia Nini waingie barabarani kufa au kupona??
 
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.

Akaingia madarakani, akawa haambiliki, maisha ya wananchi wa Malawi yakapanda maradufu. Wala hakujali, akawa busy na ziara za nje ya nchi yake katika kuifungua mipaka ya nchi.

Mwaka 2014, Uchaguzi Mkuu ukafanyika na Wamalawi hata hawakukosea, wakampiga chini kwenye sanduku la Kura. Ukawa mwisho wa Bi Joyce Banda kama Rais wa kwanza na wa pekee (mpaka sasa) wa Malawi.

Naiona hii simulizi ya Bi Joyce Banda inaendana kabisa na ya sehemu fulani ambapo inaweza ikatokea...
Kwa tume ipi ya uchaguzi hii ya Mahera?
 
Siasa za Malawi ni TOFAUTI sana na Tanzania.

Ni vizuri kuwa na ndoto lakini angalau zifanane na uhalisia.

Tanzania hata Rais akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna kitu MTAFANYA.

Kwa lugha rahisi, Hakuna kundi lolote la kisiasa unaloweza kusema Ni TIIFU kwa wapinzani wa Serikali.

Kuanzia Wasanii , Team za Mpira ( Simba & Yanga ), Matajiri, Vyama vya wafanyakazi, Wanawake, Wanazuoni, Viongozi wa dini ( CCT, TEC, EAGT, TAG, BAKWATA ).

Kwa lugha rahisi, ili uweze kuipa serikali Kash Kash unatakiwa kuwa nguvu ya kuamrisha UMMA ukakutii.

Lakini Kama anakamatwa Mwenyekiti Hakuna mtu anaingia barabarani kushinikiza atoke. Kila mtu anajifanya mwanaharakati nyuma ya keyboard, mpaka anatolewa kwa huruma tu ya aliye mweka.

Katika mazingira hayo, unadhani Kuna INFLUENCE yoyote yenye madhara.

Achaneni na NDOTO ZA ALINACHA.

FACE THE REALITY.
Lakini umeandika point ila na wewe ukiwemo
 
Siasa za Malawi ni TOFAUTI sana na Tanzania.

Ni vizuri kuwa na ndoto lakini angalau zifanane na uhalisia.

Tanzania hata Rais akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna kitu MTAFANYA.

Kwa lugha rahisi, Hakuna kundi lolote la kisiasa unaloweza kusema Ni TIIFU kwa wapinzani wa Serikali.

Kuanzia Wasanii , Team za Mpira ( Simba & Yanga ), Matajiri, Vyama vya wafanyakazi, Wanawake, Wanazuoni, Viongozi wa dini ( CCT, TEC, EAGT, TAG, BAKWATA ).

Kwa lugha rahisi, ili uweze kuipa serikali Kash Kash unatakiwa kuwa nguvu ya kuamrisha UMMA ukakutii.

Lakini Kama anakamatwa Mwenyekiti Hakuna mtu anaingia barabarani kushinikiza atoke. Kila mtu anajifanya mwanaharakati nyuma ya keyboard, mpaka anatolewa kwa huruma tu ya aliye mweka.

Katika mazingira hayo, unadhani Kuna INFLUENCE yoyote yenye madhara.

Achaneni na NDOTO ZA ALINACHA.

FACE THE REALITY.
Ata Zambia Hichilema alifungwa hakuna mzambia aliyeandamana lakini kura alipata
 
Hao watu Laki moja watatoka wapi?

Jaribu kufikiri.

Siku zote maandamano serious huwa yanaletwa na waandamanaji waliohamasika na kuwa brainwashed kupitia aidha DINI au KABILA.

Hivi vitu hapa Tanzania ni ngumu.

Utawaunganisha watu kupitia Nini waingie barabarani kufa au kupona??
Brainwashed? na sijui unaishi wapi wewe, dunia ya leo na teknoloji yote iliyopo kuunganisha watu ni dakika moja tuu, watu wanahitaji sababu tuu na kuamini wanachotaka sio dini wala kabila....remember Arab spring??
 
Brainwashed? na sijui unaishi wapi wewe, dunia ya leo na teknoloji yote iliyopo kuunganisha watu ni dakika moja tuu, watu wanahitaji sababu tuu na kuamini wanachotaka sio dini wala kabila....remember Arab spring??
Sawa, endelea kusubiri Arab spring
 
Kwanza unazungumza nchi mbili zenye siasa tofauti. Ila pia nikukumbushe; mabadiliko ya Marais Malawi yalianzia kwa Muluzi, wakachagua chagua wapinzani mwisho wa siku wakairudisha Malawi Congress Party (MCP) . MCP ni Chama kilichopigania Uhuru kwa sasa ndiyo inaongoza nchi, chini ya Rais Chakwera. Vyama vilivyopigania Uhuru vina uchungu na nchi.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom