klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Kuwa mwanamke raha sana asikwambie mtu. :]
hehehehe hii sredi imetusibitishia hilo, huna haja ya kufafanua mwalim
Kuwa mwanamke raha sana asikwambie mtu. :]
hehehehe hii sredi imetusibitishia hilo, huna haja ya kufafanua mwalim
thank god i am not a woman......
If you enumerate and delineate the metrics you used to reach that conclusion then I won't make a big deal out of it.
WARNING: Hashycool kapatikanaHii sredi naona itakuwa salama zaidi tukiichakachua. Naomba idhini wakuu!
nakuhakikishieni nitachakachua bila kuvunja sheria za JF.
nataraji ombi langu litafikiriwa na kukubaliwa (source: mwalim wangu wa Insha)
Ilikuwa mbinde mzee, hata hivyo msala haujaisha! na jina lako limetajwa! Mzembe kauza albam yote! kama uko mtupu nakushauri tafta sehem ya kukopa kabisa!WARNING: Hashycool kapatikana
If it was a shallow mind asking for this i would have done so... But i believe you can do that yourself...
Kuna watu siku zote wanapenda kuonekana wao bora tu kuliko wenzao, wasemacho wao ndio bora zaidi, naona tu mtu anaweza kusaport kitu immoral kabisa kwenye thread ingine , ila wakimwona mtu mpole, mnyonge wao au anayeshine kiaina always wanajifanya kucritisize,mbona hizo point hata kwenye gazeti la true love zilikuwepo na watu wakatoa comment zao,mwandishi alikuwa mjinga?
Na ashadii pale uliposema gaijin ni bora kuliko gaga ulimaanisha nini? kwa kutumia vigezo gani? jamani sijaona ubaya wa thread wala wa mtoa mada saidi ya chuki binafsi, nimejisikia vibaya sana leo , namwona mdada wa watu huwa hana makuu
First, you need to get off your high horse.
Second, I take it that you can't defend your own claims and that is why you are deferring it to me.
Hii sredi naona itakuwa salama zaidi tukiichakachua. Naomba idhini wakuu!
nakuhakikishieni nitachakachua bila kuvunja sheria za JF.
nataraji ombi langu litafikiriwa na kukubaliwa (source: mwalim wangu wa Insha)
Wanasayansi wamethibitisha kwamba diet ya ugali inachangia sana ongezeko la marazi ya kukoroma........ source: Indian unemployed surgeon
Hii sredi naona itakuwa salama zaidi tukiichakachua. Naomba idhini wakuu!
nakuhakikishieni nitachakachua bila kuvunja sheria za JF.
nataraji ombi langu litafikiriwa na kukubaliwa (source: mwalim wangu wa Insha)
Halaf ukitaka kujua kwamba Bongo tuko very advanced katika kufatilia habari. sibitisha hapaUsichakachue tafadhali....Wengine tunachukua Advanced English course hapa toka kwa NN na Asha Dii........!!
Halaf ukitaka kujua kwamba Bongo tuko very advanced katika kufatilia habari. sibitisha hapa
There are currently 66 users browsing this thread. (26 members and 40 guests