Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Gaijin you are so radical (sorry hio ni just my IMO) Na intelligent thus you know when you are riling a person or not... Gaga sio level yako kabisa katika anga hizo (sorry Gaga lakini ndio ukweli) hivo yeye kubishana na wewe whether right or not; She wouldn't get anywhere - The fact which i know deep down me that you know pia (and of course naweza kua bado i am wrong!)... Of course ulishatoa maoni kua the post was superficial (thou not the exact words)... And kept rubbing it in... On top of that there was NN ambae kama mwabishana or in disagreement at a personal level (thou via kyboard)... Man! waweza feel like kakutukana where as ukisoma upya post usione tusi... He is tough na though he has done that in this post, kidogo leo alikua linient..
Sio kwamba hatutaki hoja zetu zipingwe but kuna ways of presenting hicho ambacho hukubali tokana na topic ama member mhusika... in fact mimi na wewe Gaijini tukibahatika kua in a discussion (thou rare) ni kwamba mara nyingi tupo in disagreement... Which i always enjoy... ninapoona you are right nakubali... ninapoona kua sikubaliani na wewe... sikubaliani... Hivo I love when i get a member who is against what i believe in, for it is rarely that i get such challenges hasa from a person who knows what s/he is saying...
Na ofcoz najua uhusika na personal life yake...
Kwa hiyo unachotaka ni kuwa tuangalie mtoa mada kabla ya kuchangia? Hilo halitawezekana kamwe at least not to me.
Kwangu personality ya mtu haihusiki hata kidogo na wala siwezi kubadili hulka yangu kwa staarehe ya mtu mwengine.
Atakaeweka hoja yake ajifunze kuitetea hatutaacha kupinga hoja ya mtu kwa sababu tu akiwa kwa mumewe ni mkimya au hana uwezo wa kujenga hoja.