Wana JF;
Nimepata taarifa kutoka chanzo changu cha uhakika ndani ya Taasisi Nyeti inayofuatilia pia mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu 2010 ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka na kuwa hakutakuwa na uchakachuaji. Hata hivyo Taasisi hiyo ambayo ni huru bado inaonekana imeshindwa kushughulikia kwa uhakika uchakachuaji unaondelea katika zoezi zima la uchaguzi ambalo bado linaendelea kugubikwa na vitendo vya rushwa na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi.
Baada ya salamu za kawaida alinijulisha kuwa masikitiko makubwa kuwa Uchaguzi umepamba moto na kuwa mafisadi wamejiandaa kuiba kura "zetu" mpaka inakatisha tamaa.
Ili kupata uhakika zaidi nilitaka kujua wataibaje kura wakati NEC wamesema kuwa haiwezekani kura kuibiwa? Nilishangaa sana aliponijibu kwa kujiamini kuwa Niachane na NEC na kuniuliza nilitegemea NEC waseme nini? Akaniambia kuwa Slaa anatisha kwa "Wanachachama". alinihakikishia kuwa ikishindikana kabisa "watavuruga" uchaguzi kwa kuhakikisha kuwa vituo vingine vifaa havitafika.
Niliingiwa na wasiwasi kidogo na kumwuliza ni vipi hasa wataiba kura kwa maana nadharia hiyo mbona ni ngumu. Nilimwomba anieleze kwa uhakika. Akionyesha kujiamini na kuwa na uhakika na kile anachoongea aliniambia kuwa "Kwanza wananunua kadi za kupigia kura, pia kuna karatasi feki zimeandaliwa kwa ajili ya kuzidisha kura kwa CCM"
Habari ndo hiyo. Kama CHADEMA wanasoma hapa basi wajiandae kwa kulishughulikia hili.
Naomba kuwakilisha!
kwa walio wengi tunakumbuka habari hii iliyowekwa wiki tatu zilizopita.
1. poleni na harakati za kuikomboa nchi yetu!
Leo napenda kuwajulisha mikakati michafu ya kupora na kuzuia maamuzi ya umma yanayofanywa na ccm kwa uratibu wa usalama wa taifa. Baada ya kubaini dalili za kuanguka vibaya katika uchaguzi wa mwaka huu idara ya usalama wa taifa imeandaa mikakati ya kuiba kura ili kuzuia chadema msiingie ikulu. Mikakati hii inaeleweka vizuri kwa tume ya taifa ya uchaguzi ambayo inashirikiana bega kwa bega na idara ya usalama wa taifa kumtengenezea jk ushindi bandia wa 80%. Wana hakika watanzania watagundua wizi huo na watakataa matokeo ndiyo maana kwanza waliwatumia viongozi wa dini waliotembelea makao makuu ya chadema wawasihi chadema wakubali matokeo yatakapotangazwa na juzi wamelitumia jeshi kutisha wananchi watakaoamua kupinga matokeo ya kupikwa yanayoandaliwa na nec/usalama wa taifa. Majid kikula ambaye ni government security officer ndiye mratibu wa zoezi la kuiba kura, ni mtaalamu aliyebobea katika kazi za aina hii aliratibu vizuri zoezi kama hilo mwaka 2005. Pia mwaka 2007 alitumwa kenya kwenda kumsaidia kibaki kupora ushindi wa odinga.
Kikula anatumia muda wake mwingi hivi sasa ofisi za tume ya uchaguzi kwa ajili ya uratibu wa uvurugaji daftari la kudumu la wapiga kura akiifanya kazi hiyo kwa karibu na baadhi ya watendaji wa nec na maafisa kadhaa wa usalama wa taifa kutoka kurugenzi ya IT ya idara ya usalama (DITA) ambao wako ndani ya nec kwa zaidi ya miezi sita sasa, nitawapatia majina yao. Pia kuna vijana wataalamu wa IT waliochukuliwa kutoka maeneo mbalimbali wamepewa nyumba upanga mtaa wa undali shughuli kubwa wanayofanya ni kuandaa utaratibu wa ku-access remotely daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa wanafanya kazi chini ya salva rweyemamu na mindi kasiga kutoka kurugenzi ya mawasiliano ikulu. Wapo vijana kadhaa leo nawapa majina ya wawili; maharage chande na edgar masatu wanafanya kazi kwa karibu na nzowa wa idara ya usalama ambaye ndiye aliyeratibu shambulio la kumwagiwa tindikali kubenea. Pia kuna kundi linalojumuisha wataalamu wa printing wa kiwanda cha uchapaji cha usalama wa taifa kilichopo MALINDI ambao hivi karibuni walikuwa mjini tanga kwa semina fupi ya jinsi ya kughushi kura kupitia fake ballot paper, timu hii inaongozwa na ndg SINYAU.
Kwa hiyo utaona kwamba imeandaliwa mikakati mingi kuufanikisha uovu huo ili mmoja ukikwama basi mwingine utatumika ila wameamua ni lazima jk ashinde kwa 80%. Ndani ya idara ya usalama wa taifa maafisa wengi wamechoshwa na uongozi mbovu wa ccm hivyo wanataka mabadiliko ya uongozi idara imechukua hatua kadhaa kuhakikisha maafisa wote wa idara wanampigia kura jk, wote wameagizwa kuwasilisha vitambulisho vyao vya kupigia kura ili vinakiliwe namba ili atakayepigia upinzani afukuzwe kazi baada ya uchaguzi. Fuatilieni kwa karibu haya niliyowaeleza nimeyapata kwa nafasi yangu ndani ya tiss. Huyu KIKULA mfuatilieni kwa karibu ni hatari. HAKIKISHENI DUNIA NA WATANZANIA WOTE WANAJUA MAPEMA HILA HIZI. Jambo la kujiuliza maafisa usalama wa taifa wanafanya nini ndani ya tume ya uchaguzi wakati huu.
Huu mpango umefikia wapi?
kwa walio wengi tunakumbuka habari hii iliyowekwa wiki tatu zilizopita.
1. poleni na harakati za kuikomboa nchi yetu!
Leo napenda kuwajulisha mikakati michafu ya kupora na kuzuia maamuzi ya umma yanayofanywa na ccm kwa uratibu wa usalama wa taifa. Baada ya kubaini dalili za kuanguka vibaya katika uchaguzi wa mwaka huu idara ya usalama wa taifa imeandaa mikakati ya kuiba kura ili kuzuia chadema msiingie ikulu. Mikakati hii inaeleweka vizuri kwa tume ya taifa ya uchaguzi ambayo inashirikiana bega kwa bega na idara ya usalama wa taifa kumtengenezea jk ushindi bandia wa 80%. Wana hakika watanzania watagundua wizi huo na watakataa matokeo ndiyo maana kwanza waliwatumia viongozi wa dini waliotembelea makao makuu ya chadema wawasihi chadema wakubali matokeo yatakapotangazwa na juzi wamelitumia jeshi kutisha wananchi watakaoamua kupinga matokeo ya kupikwa yanayoandaliwa na nec/usalama wa taifa. Majid kikula ambaye ni government security officer ndiye mratibu wa zoezi la kuiba kura, ni mtaalamu aliyebobea katika kazi za aina hii aliratibu vizuri zoezi kama hilo mwaka 2005. Pia mwaka 2007 alitumwa kenya kwenda kumsaidia kibaki kupora ushindi wa odinga.
Kikula anatumia muda wake mwingi hivi sasa ofisi za tume ya uchaguzi kwa ajili ya uratibu wa uvurugaji daftari la kudumu la wapiga kura akiifanya kazi hiyo kwa karibu na baadhi ya watendaji wa nec na maafisa kadhaa wa usalama wa taifa kutoka kurugenzi ya IT ya idara ya usalama (DITA) ambao wako ndani ya nec kwa zaidi ya miezi sita sasa, nitawapatia majina yao. Pia kuna vijana wataalamu wa IT waliochukuliwa kutoka maeneo mbalimbali wamepewa nyumba upanga mtaa wa undali shughuli kubwa wanayofanya ni kuandaa utaratibu wa ku-access remotely daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa wanafanya kazi chini ya salva rweyemamu na mindi kasiga kutoka kurugenzi ya mawasiliano ikulu. Wapo vijana kadhaa leo nawapa majina ya wawili; maharage chande na edgar masatu wanafanya kazi kwa karibu na nzowa wa idara ya usalama ambaye ndiye aliyeratibu shambulio la kumwagiwa tindikali kubenea. Pia kuna kundi linalojumuisha wataalamu wa printing wa kiwanda cha uchapaji cha usalama wa taifa kilichopo MALINDI ambao hivi karibuni walikuwa mjini tanga kwa semina fupi ya jinsi ya kughushi kura kupitia fake ballot paper, timu hii inaongozwa na ndg SINYAU.
Kwa hiyo utaona kwamba imeandaliwa mikakati mingi kuufanikisha uovu huo ili mmoja ukikwama basi mwingine utatumika ila wameamua ni lazima jk ashinde kwa 80%. Ndani ya idara ya usalama wa taifa maafisa wengi wamechoshwa na uongozi mbovu wa ccm hivyo wanataka mabadiliko ya uongozi idara imechukua hatua kadhaa kuhakikisha maafisa wote wa idara wanampigia kura jk, wote wameagizwa kuwasilisha vitambulisho vyao vya kupigia kura ili vinakiliwe namba ili atakayepigia upinzani afukuzwe kazi baada ya uchaguzi. Fuatilieni kwa karibu haya niliyowaeleza nimeyapata kwa nafasi yangu ndani ya tiss. Huyu KIKULA mfuatilieni kwa karibu ni hatari. HAKIKISHENI DUNIA NA WATANZANIA WOTE WANAJUA MAPEMA HILA HIZI. Jambo la kujiuliza maafisa usalama wa taifa wanafanya nini ndani ya tume ya uchaguzi wakati huu.
Huu mpango umefikia wapi?
Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/77852-idara-ya-usalama-wa-taifa-na-zoezi-la-uchakachuaji-kura.html
poleni na harakati za kuikomboa nchi yetu!
Leo napenda kuwajulisha mikakati michafu ya kupora na kuzuia maamuzi ya umma yanayofanywa na ccm kwa uratibu wa usalama wa taifa. Baada ya kubaini dalili za kuanguka vibaya katika uchaguzi wa mwaka huu idara ya usalama wa taifa imeandaa mikakati ya kuiba kura ili kuzuia chadema msiingie ikulu. Mikakati hii inaeleweka vizuri kwa tume ya taifa ya uchaguzi ambayo inashirikiana bega kwa bega na idara ya usalama wa taifa kumtengenezea jk ushindi bandia wa 80%. Wana hakika watanzania watagundua wizi huo na watakataa matokeo ndiyo maana kwanza waliwatumia viongozi wa dini waliotembelea makao makuu ya chadema wawasihi chadema wakubali matokeo yatakapotangazwa na juzi wamelitumia jeshi kutisha wananchi watakaoamua kupinga matokeo ya kupikwa yanayoandaliwa na nec/usalama wa taifa. Majid kikula ambaye ni government security officer ndiye mratibu wa zoezi la kuiba kura, ni mtaalamu aliyebobea katika kazi za aina hii aliratibu vizuri zoezi kama hilo mwaka 2005. Pia mwaka 2007 alitumwa kenya kwenda kumsaidia kibaki kupora ushindi wa odinga.
Kikula anatumia muda wake mwingi hivi sasa ofisi za tume ya uchaguzi kwa ajili ya uratibu wa uvurugaji daftari la kudumu la wapiga kura akiifanya kazi hiyo kwa karibu na baadhi ya watendaji wa nec na maafisa kadhaa wa usalama wa taifa kutoka kurugenzi ya IT ya idara ya usalama (DITA) ambao wako ndani ya nec kwa zaidi ya miezi sita sasa, nitawapatia majina yao. Pia kuna vijana wataalamu wa IT waliochukuliwa kutoka maeneo mbalimbali wamepewa nyumba upanga mtaa wa undali shughuli kubwa wanayofanya ni kuandaa utaratibu wa ku-access remotely daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa wanafanya kazi chini ya salva rweyemamu na mindi kasiga kutoka kurugenzi ya mawasiliano ikulu. Wapo vijana kadhaa leo nawapa majina ya wawili; maharage chande na edgar masatu wanafanya kazi kwa karibu na nzowa wa idara ya usalama ambaye ndiye aliyeratibu shambulio la kumwagiwa tindikali kubenea. Pia kuna kundi linalojumuisha wataalamu wa printing wa kiwanda cha uchapaji cha usalama wa taifa kilichopo MALINDI ambao hivi karibuni walikuwa mjini tanga kwa semina fupi ya jinsi ya kughushi kura kupitia fake ballot paper, timu hii inaongozwa na ndg SINYAU.
Kwa hiyo utaona kwamba imeandaliwa mikakati mingi kuufanikisha uovu huo ili mmoja ukikwama basi mwingine utatumika ila wameamua ni lazima jk ashinde kwa 80%. Ndani ya idara ya usalama wa taifa maafisa wengi wamechoshwa na uongozi mbovu wa ccm hivyo wanataka mabadiliko ya uongozi idara imechukua hatua kadhaa kuhakikisha maafisa wote wa idara wanampigia kura jk, wote wameagizwa kuwasilisha vitambulisho vyao vya kupigia kura ili vinakiliwe namba ili atakayepigia upinzani afukuzwe kazi baada ya uchaguzi. Fuatilieni kwa karibu haya niliyowaeleza nimeyapata kwa nafasi yangu ndani ya tiss. Huyu KIKULA mfuatilieni kwa karibu ni hatari. HAKIKISHENI DUNIA NA WATANZANIA WOTE WANAJUA MAPEMA HILA HIZI. Jambo la kujiuliza maafisa usalama wa taifa wanafanya nini ndani ya tume ya uchaguzi wakati huu.
Hii kali mpaka wahusika wakuu wanatajwa kwa majina? Hii taarifa inapashwa kupewa uzito unaostahili la sivyo haki haitatendeka hata kidogo!!!
Tiba
Wana JF;
Nimepata taarifa kutoka chanzo changu cha uhakika ndani ya Taasisi Nyeti inayofuatilia pia mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu 2010 ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka na kuwa hakutakuwa na uchakachuaji. Hata hivyo Taasisi hiyo ambayo ni huru bado inaonekana imeshindwa kushughulikia kwa uhakika uchakachuaji unaondelea katika zoezi zima la uchaguzi ambalo bado linaendelea kugubikwa na vitendo vya rushwa na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi.
Baada ya salamu za kawaida alinijulisha kuwa masikitiko makubwa kuwa Uchaguzi umepamba moto na kuwa mafisadi wamejiandaa kuiba kura "zetu" mpaka inakatisha tamaa.
Ili kupata uhakika zaidi nilitaka kujua wataibaje kura wakati NEC wamesema kuwa haiwezekani kura kuibiwa? Nilishangaa sana aliponijibu kwa kujiamini kuwa Niachane na NEC na kuniuliza nilitegemea NEC waseme nini? Akaniambia kuwa Slaa anatisha kwa "Wanachachama". alinihakikishia kuwa ikishindikana kabisa "watavuruga" uchaguzi kwa kuhakikisha kuwa vituo vingine vifaa havitafika.
Niliingiwa na wasiwasi kidogo na kumwuliza ni vipi hasa wataiba kura kwa maana nadharia hiyo mbona ni ngumu. Nilimwomba anieleze kwa uhakika. Akionyesha kujiamini na kuwa na uhakika na kile anachoongea aliniambia kuwa "Kwanza wananunua kadi za kupigia kura, pia kuna karatasi feki zimeandaliwa kwa ajili ya kuzidisha kura kwa CCM"
Habari ndo hiyo. Kama CHADEMA wanasoma hapa basi wajiandae kwa kulishughulikia hili.
Naomba kuwakilisha!
Hamna jipya uliloongea zaidi ya vile vile vilio visivyo na mashiko!!! Nilivutiwa kusoma thread yako hadi mwisho ili nione namna kura hizo zitakavyoibiwa lakini bado wala hamna kipya ulichosema!! Naomba unifahamishe yafuatayo:
- Watanunua shahada ngapi hata waweze kuathiri matokeo ya uchaguzi?
- Hizo karatasi feki zitaingizwa vipi kwenye masanduku wakati kuna mawakala wa CHADEMA? AU ndo tuseme kwamba mawakala wa CHADEMA watanunuliwa hata waweze kufunga mdomo? Na kama watanunuliwa, je unaweza kukiri hapa kwamba wana-CHADEMA ni watu wasioaminika kv ni rahisi kununulika kiasi cha kuuza haki ya Watanzania?
Akaniambia kuwa Slaa anatisha kwa "Wanachachama". alinihakikishia kuwa ikishindikana kabisa "watavuruga" uchaguzi kwa kuhakikisha kuwa vituo vingine vifaa havitafika.
Wenyewe wanavyosema tena!, sasa unataka tuwajibu hao wenyewe kwa kupitia wewe?. Waache hao wenyewe waje waseme wenyewe ili tuwajibu wao. Wewe nenda kalae ndugu yangu, mwaka huu mtoto si riziki!Kama inavyotarajiwa ushindi wa kiti cha "urahisi" utakwenda kwa JK. Dalili ziko wazi - sina hakika wanajamii wa JF mtaupokeaje ushindi huo! Tena wa kishindo - wenyewe wanavyosema!
Mimi nimeambiwa njama za kuiba kura zipo na washirika wakuu ni watu wa Ikulu. Kuna kitengo maalumu kinafanya kazi ya kuiba kura kiko karibu na ofisi ya Tume ya Haki za Binadamu. Kazi yao yote imekuwa ni kupanga njama za kuiba. Watu hao ni wa usalama wa Taifa. Wanashirikiana na mtu mmoja aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi lakni amerejea CCM. Kwa hiyo ndugu zangu tuhuma hizi si za kuupuza. Wao wana mpango wa kubadilisha idadi ya matokeo ya uchaguzi kutoka kila kituo kama alivyofanya Kibaki huko Kenya. Ninawahimiza Chadema walishughulikie hilo.Wana JF Mnaikumbuka hii? Nadhani ilifutwa au kuhamishwa na Moderators lakini ilikuwa posted tarehe 10-10-2010. Bahati liliihamisha mapema kabla haijachakachuliwa!
Mpaka unasema hivi ni kuwa unafahamu rohoni kwako kuwa JK hastahili hata chembe kuendelea kuliongoza taifa hili na kwa hiyo ni ufisadi tu ndiyo utampa ushindi.......lakini hata NEC wakimtangaza mshindi unafikiri nchi hii ataitawala na wakati amekwisha kupoteza imani ya watanzania........Kule Mbeya msafara wake ulipigwa mawe......Mwanza leo kakumbana na zomeazomea....na mchezo bado..............Yaani hilo unalomwombea JK humpendi kabisa.....na haya niongeayo utayakumbuka hivi karibuni.........Kama inavyotarajiwa ushindi wa kiti cha "urahisi" utakwenda kwa JK. Dalili ziko wazi - sina hakika wanajamii wa JF mtaupokeaje ushindi huo! Tena wa kishindo - wenyewe wanavyosema!