Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Kaza buti siku tatu si haba utabadilisha wengi waliokata tamaa ya kupiga kura na kuibiwa.
najitahidi sana maana sitaki kura ya slaa hata moja ipotee hivyo lazima niwahimize wote wakapige kura
Kaza buti siku tatu si haba utabadilisha wengi waliokata tamaa ya kupiga kura na kuibiwa.
Habari zinaenea ya kuwa CCM na mawakala wao pamoja na Tume ya Uchaguzi wa Mpango mbaya wa kuharibu KURA yako kwa wewe mwenyewe kwa mkono wako kuiharibu. Iko hivi, nimeipata hii kwa Mmoja wao aliyefikiri mimi niko pamoja nao kumbe mimi sio CCM (JK Family). Habari yenyewe ndio hii.
Jambo lenyewe lahusu elimu ya karatasi za kura hususan UKUNJAJI wa karatasi hizo. Ukichukua karatasi ya kupiga kura majina ya wagombea yameandikwa na picha mkono wa kulia na sehemu ya alama kushoto, sasa kalamu za TUME zina wino mwingi sana hivyo karatasi ikikunjwa vibaya wino huo wa alama ya ndio utaangukia pengine hivyo karatasi hiyo ikawa na alama mbili kwenye wagombea wawili tofauti, hivyo kufanya kura yako kuwa IMEHARIBIKA.
Sasa elimu hii ya ukunjaji vizuri wa karatasi imeanza kutolewa kwa wana-CCM nchi nzima ili kufanya wapinzani kuharibu KURA zao nyingi, hii ni baada ya CCM kuona kuiba kura kwa KURA FEKI itashindikana, hivyo kufanya kura za UPINZANI kuharibika.
Elimu hii iko hivi.
Kunja karatasi yako ya KURA ifuatavyo kuepuka ALAMA kutokea kwa wagombea wawili tofauti, kunja karatasi ya KURA aina za A4 yaani karatasi zilizo ndefu na si pana yaani kutoka juu kwenda chini ni kurefu kuliko kutoka kulia kwenda kushoto.
SASA KUNJA KARATASI YAKO KUTOKA KULIA KWENDA KUSHOTO SIYO KUTOKA JUU KWENDA CHINI.
PIA KUMBUKA KUSUBIRI WINO KUKAUKA KIDOGO KABLA YA KUKUNJA.
Elimu hii wapewe mawakala wote wa upinzani kwani CCM wameanza kimya kimya ili kuwaacha WAPINZANI kwenye
mataa. Pia tuma ujumbe huu kwa kila mpinzani unayemfahamu. JK harudi mjengoni hata kidogo.
TUPIGE KURA BILA KUHARIBU KURA, NA TUZILINDE HASWA.
2010 Hatudanganyiki. JK Family chini, chini zaidi. SLAA JUU, JUU ZAIDI.
Habari zinaenea ya kuwa CCM na mawakala wao pamoja na Tume ya Uchaguzi wa Mpango mbaya wa kuharibu KURA yako kwa wewe mwenyewe kwa mkono wako kuiharibu. Iko hivi, nimeipata hii kwa Mmoja wao aliyefikiri mimi niko pamoja nao kumbe mimi sio CCM (JK Family). Habari yenyewe ndio hii.
Jambo lenyewe lahusu elimu ya karatasi za kura hususan UKUNJAJI wa karatasi hizo. Ukichukua karatasi ya kupiga kura majina ya wagombea yameandikwa na picha mkono wa kulia na sehemu ya alama kushoto, sasa kalamu za TUME zina wino mwingi sana hivyo karatasi ikikunjwa vibaya wino huo wa alama ya ndio utaangukia pengine hivyo karatasi hiyo ikawa na alama mbili kwenye wagombea wawili tofauti, hivyo kufanya kura yako kuwa IMEHARIBIKA.
Sasa elimu hii ya ukunjaji vizuri wa karatasi imeanza kutolewa kwa wana-CCM nchi nzima ili kufanya wapinzani kuharibu KURA zao nyingi, hii ni baada ya CCM kuona kuiba kura kwa KURA FEKI itashindikana, hivyo kufanya kura za UPINZANI kuharibika.
Elimu hii iko hivi.
Kunja karatasi yako ya KURA ifuatavyo kuepuka ALAMA kutokea kwa wagombea wawili tofauti, kunja karatasi ya KURA aina za A4 yaani karatasi zilizo ndefu na si pana yaani kutoka juu kwenda chini ni kurefu kuliko kutoka kulia kwenda kushoto.
SASA KUNJA KARATASI YAKO KUTOKA KULIA KWENDA KUSHOTO SIYO KUTOKA JUU KWENDA CHINI.
PIA KUMBUKA KUSUBIRI WINO KUKAUKA KIDOGO KABLA YA KUKUNJA.
Elimu hii wapewe mawakala wote wa upinzani kwani CCM wameanza kimya kimya ili kuwaacha WAPINZANI kwenye
mataa. Pia tuma ujumbe huu kwa kila mpinzani unayemfahamu. JK harudi mjengoni hata kidogo.
TUPIGE KURA BILA KUHARIBU KURA, NA TUZILINDE HASWA.
2010 Hatudanganyiki. JK Family chini, chini zaidi. SLAA JUU, JUU ZAIDI.