gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,223
- 5,798
Watu wakishapata maendeleo miundombinu lazima iboreke kwasababu shughuli za kiuchumi zitakua na kuongezeka.kwahiyo inawezekana hiyo concempt hukuielewa.Kinachozungumziwa sio kujenga miundombinu ilimradi imejengwa bali kujenga miundombinu inayoendana na ukuaji wa hali za wananchi kiuchumi,kijamii,ikienda sambamba na mipango miji na mengine kama hayo.Ukichelewa kufanya hayo hata ujenzi wa hiyo miundombinu lazima uwe na changamoto nyingi zitakazochelewesha kufika malengo kusudiwa.Tena walidiriki kusema hawata maendeleo ya vitu watu hawali lami Sasahivi wanatamani maendeleo ya jirani hawajui kuwa nao kuna watu waliumia ilikupata hayo maendeleo.