Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 2,749
- 4,942
Kwamba Angola ina rasilimali kuliko Tanzania?
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.