Wilson Mukama: Public and Private Profile

Kwa ufahamu wangu wa Mzee Mkama, kuna mambo kadhaa uliyosema ambayo nakubaliana nayo na kuna yale nitakayokuwa mgumu kukubaliana nayo; nitasisitiza haya mawili:

(1) Kuhusu kutembea nje, ni kweli jamaa alitembea sana kwa vile nilikutana naye katika mikutano mingi sana nchi za nje, ambako ndioko nilikomfahamia kwa kiasi kikubwa. Nilikuwa na wasiwasi sana na anakipata pesa za kuhudhuruia mikutanoa ile na ndiyo maana nikahisi kuwa anatumia mikutanoa hiyo kama mkwara wa kuchoteza vijisenti kwa njia ya marupurupu ya safari.

(2) Kuhusu ubaguzi wa watu wa kusini sikubaliani nawe kwa sababu nadhani huenda ndiye aliyechangia sana kwenye mchakato ambao baadaye ulizaa Machinga complex kwa maana ya kutaka kuwe na eneo maalumu ambalo machinga wanafanyia kazi badala ya kusamnbaa sehemu zote za jiji. Huu mpango wa Mchinga complex nina imani kuwa aliupata Tokyo Japan kwenye eneo la Akihabara ambalo lina wafanyabiashara wa aina ya macvjhionga lakini hawazagai sehemu nyingine za jiji. Nina imani kuwa katika mojawapo ya mazungumzo yake alikuwa anataka kutenga mtaa mmoja wa da uwe kwa ajili ya biashara ya machinga tu.
 
Sijaelewa malalamishi yako kwa mods. criticism sio personal opinion? making it your personal view? Mbona article nzima imejaa maoni yako? Is that not your personal view?
 
I wish to point out kuwa header ya thread imefanyiwa editing without my consent or even consultation na one of the JF's unknown moderators

Header yangu ilikuwa : WILSON MUKAMA: Public and Private Profile

Sijaweka bado personal view kama ambavyo thread header inavyosema ila nimeweka criticism on the article ambayo MUKAMA aliandika kujisifia

on a flip side, kila mtu anaruhusiwa kuweka wasifu wake anavyomjua huyu bwana direct or indirect




Believing the previous title was sensationalized to mislead our readers; I am the one of 'JF's unknown moderators' who changed it to reflect its contents. It's just so unfortunate that at times I might do so without seeking your consent. Sorry for the trouble. Hope you have a good day !
 
jamani kweli CCM wameona mbali kumweka،mtu makini kama mkama.
For the first time Dar ilipata shape ya kuonekana baada ya akina Kitwana Kondo kuendesha jiji kama mradi wa familia. Anayeleta profile hiyo ya mkama hamjui mkama.
 
I wish to point out kuwa header ya thread imefanyiwa editing without my consent or even consultation na one of the JF's unknown moderators

Header yangu ilikuwa : WILSON MUKAMA: Public and Private Profile

Sijaweka bado personal view kama ambavyo thread header inavyosema ila nimeweka criticism on the article ambayo MUKAMA aliandika kujisifia



02_11_hvcj74.jpg



Naam in continuing with our tradition ya KU RECYCLE WATAWALA this time tumeletewa huyu jamaa ambaye if anything

-Alikuwa mstari wa Mbele kuwatisha Madaktari walipogoma Muhimbili. By then alikuwa ni Permanent Secretary wizara ya afya. Badala ya kutafuta njia ya maana ya kutatua ule mgogoro he was busy devising brutal methods za kuuzima ule mgomo badala ya kuangalia njia mbadala.



-Alipokuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar hakuna lolote la maana alilolifanya ambalo tunaweza kusema kuwa lili kuwa ni major achievement zaidi ya kuwa the City was more dirtier, unsafe and disorganised than ever. Traffic police wakapewa kazi za kudumu kuongoza magari badala ya kutengeneza taa za kuongeza magari. Waliofanya naye kazi kule jiji wanasema kuwa huyu bwana if anything ali alienated a lot of people (direct and indirect) not necessarily with his policies, but with his undisguised belief kama alivyokuwa Keenja that Dar belonged to him. Bwana Mukama alisahau kuwa he was there to serve wana Dar lakini instead treated jiji like his fiefdom.

Mtakaosema kuwa namwonea lakini lets face it yeye mwenyewe aliwahi kusema hivi alipokuwa City Director:

"I want to see a much more livable Dares Salaam -- in terms of security, of course, but especially in terms of affordability".....a much more planned Dares Salaam" would eventually lead to "a much more manageable", "much cleaner" and "much safer" city.


The truth ni kuwa what we got from him was the opposite

Na kwa kuonyesha kuwa he is out of touch hebu soma solution yake kuhusu vijana wanaotafuta rizki Dar:

"of course, we have to address the causes underlying rural problems. We have to encourage the youth to stay in the rural areas so that there is less migration to Dares Salaam. But that means that there must be viable economic activities to sustain them there--cash crops, good living conditions and availability of services, for which they normally come to town, such as education, health and the provision of safe water. The temptation to move will ease if these services are made available within our rural areas and if the people there have some gainful economic activities--they produce their crops and they sell them.


Typical response from out of touch City Director ambaye kasahau kuwa its basic human right ya Mtanzania kuishi kokote kule atakako Tanzania without interference from people like MUKAMA.

Anazungumzia kupeleka huduma vijijini lakini nani kamwambia kuwa kila kijana anataka kuishi kijijini? au kila kijana anataka kuwa mkulima? dont worry, haya ndio mawazo na mentality ya MUKAMA juu ya vijana ...wakae vijijini wawe wakulima. Cha ajabu wanawe hawaishi vijijini.

MUKAMA THE RACIST:

Showing out of touch na jiji la Dar Mukama anaendelea kuwatuhumu vijana toka mikoa ya kusini kujaza jiji la Dar bila any supporting data or any facts kwa kudai kuwa:

"Most of these young men, who peddle goods on the road, are from the South."

really? Kama anazungumzia Immigration caps to Dar why single out vijana from Kusini?

MUKAMA THE OUT OF TOUCH:

Huyu bwana anajisifia alivyotumia pesa za walipa kodi kwenda kwenye mikutano ya kimatafaifa kwa kusema hivi:

In my one year as City Director of the City Council of Dar es Salaam, I have benefited from attending a number of international conferences. Some of the best practices discussed at these conferences have contributed immensely to my understanding of the ways local authorities around the world are getting the people involved, especially in the area of governance.

Ukweli ni kuwa local authorities Dar chini yake hazikuwa involved kwenye chohcote kile. Mfano chini yake leseni za Bar zimetolewa kama uyoga bila kuzingatia sheria za serikali za mitaa ( msisahau alishawahi kuwa TAMISEMI) ambazo ziko very strict on eneo la mraba na time ambazo hizi bar zinatakiwa kufunguliwa. Maoni ya wananchi waliopo eneo lile, issues za afya na biala kusahau wagonjwa na watoto..mfano mzuri chini ya uongozi wake eneo lilalo zunguka hospitali za Mwananyamala na Ilala zimekuwa na Baaa nyingi ambazo zinapiga makelele za miziki mpaka saa 9 usiku bila kuzingatia wagonjwa na watoto ambao wanatakiwa kwenda kusoma kesho yake.

Sasa whats the point of kujisifia kwenda kusoma halafu kakuna faida ya hiyo misafara?

KUHUSU DAR

Mukama the Walter Mitty Character anasema hivi:

"I want to see a much more livable Dar es Salaam--in terms of security, of course, but especially in terms of affordability. A city, in other words, where people have a good income and can afford to pay for the various services available to them--housing, transport, recreation areas. We plan to carry out an urban renewal in some areas, because if we don't have enough open spaces, our city won't be able to breathe and will choke. We are attempting to make our beaches safe and clean so that people can relax there. They should not just always spend their free time inside their houses because they have no better choice. We need more open spaces, with more gardens, recreational parks."


Sina haja ya kusema mengi kuhusu hili kwani kila mtu anajua what we got in return.


Baadae ntarudi na mengine

Lakini in short this is another incompetent propagandist aliyeteuliwa ambaye hana jipya...infact amekuwa RECYCLED like the other lot

source ya majisifa aliyojipa Mukama iko hapa:

'A Much More Livable Dar Es Salaam': Sustainable Urban Development. Magazine Title: UN Chronicle. Volume: 38. Issue: 1. Publication Date: March-May 2001. Page Number: 24+. COPYRIGHT 2001 United Nations Publications

SLIDINGROOF, you are really out of your mental wheels!!
What you have written is pure and authentic CRAP.
Sana sana inaelekea kwenye character assasination,post yako ni juu ya mtu usiyempenda full stop.
Matumizi ya lugha vile vile umeniacha hoi-RACIST? hivi unaelewa maana yake au umeikuta ukitumika nawe ukaamua kuitumia.
Hapa ni pole tu.
 
Huyu jamaa ni mzuri sana kwa masuala ya siasa na uongozi.Nawashauri wenye uwezo wa kutafuta cv yake waisome ndipo watamuelewa vizuri.
 
Japo nafahamu ya kuwa bado haijatolewa rasmi na CCM kwamba huyu ndugu Mukama amejitwalia ukatibu mkuu wa CCM, nimeona niwape reflection ya nchi yetu na jinsi tulivyo na muelekeo mbaya. KWa mujibu wa taarifa za kuaminika (Ref. Mwananchi la Leo), huyu ndugu Mukama alihusika moja kwa moja na kufanya tathmini juu ya wizi wa kura wa CCM uliowapa ushindi kiduchu mwaka jana na inasemekana kamati yake ndio iliyotoa recommendations za umuhimu wa CCM "kujivua gamba". Na hili ndilo linalonifanya niongelee muelekeo wa nchi yetu Tanzania.

Ikumbukwe kuwa Mkama ambaye mpaka leo hii ni mfanyakazi wa serikali na kwa maana hiyo analipwa mshahara kwa kutumia kodi za watanzania wote bila kujali itikadi yao ya kisiasa. Sasa najiuliza, anawezaje baada ya hapo kufanya kazi ambayo kimsingi inakusudiwa kukipa chama kimoja ushindi dhidi ya kingine? Katika hili sisemi kwamba hana right ya kuwa mwana CCM, la hasha. Lakini ethics za kikazi zinamruhusu vipi kuwa mfanyakazi wa serikali na hapo hapo wa CCM?

Ikumbukwe pia kuwa Mkurugenzi anekaimu wa Daily New anyeye pia akiwa mfanyakazi wa CCM aliwahi kuandika editorial wakati wa uchaguzi mwaka jana akisema wazi na namnukuu, "Slaa asahau kwamba anaweza kuuchukua uraisi" kwa maana kuwa alikuwa akiipigia campaign CCM. Ni lipi sasa linalofanya magazeti ya TSN (Daily News na Habari leo) yatambulike kama ya serikali na ya-exist kwa kodi ya watanzania wapatao milioni 43 wakati yanafanyakazi za CCM yenye wanachama wasiozidi milioni 5 kwa mijimu ya takwimu zao wenyewe ambazo naamini zimechakachuliwa?

Niseme wazi kuwa simjui huyu ndugu Mukama lakini ile tu kwamba alikuwa akifanya kazi bega kwa bega na CCM wakati anaishi kwa kodi ya walalahoi ambao wengine si CCM inamfanya nayeye kuwa fisadi kama mafisadi wengine. Vinginevyo, Hawa Ghasia atueleze alitumia vigezo vipi kusitisha mkataba wa Prof. Baregu kwasababu tu ya kugombea uongozi CHADEMA. Au ni vigezo vipi vilitumika kumkatisha kazi Prof. Safari kazi yake pale katika chuo cha diplomasia kurasini?

Na ni kipi kinachofanya kuwa hadi leo baada ya miaka zaidi ya 10 ya kutofanya kazi UDSM, kwanini bado Prof. Lipumba anatambulika kama mkufunzi alie likizo ya kikazi ilhali amekuwa mwenyekiti wa CUF katika miaka yote hii? Wasiwasi wangu ni kwamba sheria tofauti zinatumiwa kushughulikiwa masuala yaliyo sawa. Nini mwisho wa yote haya?

Ama kweli katiba mpya inahitajika Tanzania.
 
Ninavyo mfahamu huyu mzee, ukiachilia utendaji mwingine kwenye siasa anaweza kufanya mzuri!
 
Kuna baya zaidi ambalo halijatajwa hapa jf na labda lilisahaulika kwa ubaya wake.
Akiwa Mkurugenzi wa jiji ndo pia kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Mwembechai, ule wakati wa vuguvugu la waislamu. Nadhani alikuwa amevutwa sana na hakuwa na solution. Moja na meno yake ilikuwa kwamba;

"Nyie watu na kitabu chenu hicho, mutainama sana!" Kitabu alimaanisha Korani tukufu. Haya waislamu tuseme kabadilika?
:A S-confused1::A S-cry::A S angry::mad2::nono::A S 39::A S-confused1::amen::boom::A S-fire1::A S-omg::heh::hatari::A S embarassed::shock::shetani::A S 114::A S confused::mmph::A S thumbs_down::lie::A S 109::wink1::deadhorse::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Is he a politician?
katibu ni mtendaji na wilson ni mtendaji

hebu basi tumpongeze kwamba he is better than Makamba......... Mbona tuko hivi??

Hivi kama Mungu angehesabu makosa yetu kuna mtu angesimama popote//???
 
Mie naona Wilson amwemwagiwa sifa badala ya kumchafua kama lengo la mtoa mada lilivyokuwa. Swala na Influx ya Vijana wenye nguvu kukikmbilia mijini ni nyetisana kwa hali ya Uchumi baadae. Wilson alikuwa na maana nzuri tu kutaka hali ya Maisha na Mazingara ya kiuchumi yaboreshwe vijijini ili vile vinavyopelekea vijana kukimbilia mijini vipatikane huko vijijini na maisha yao yawe bora huko kuliko kuja mijini kwa wingi halafu inapelekea kupata yale ambyo hwayakuyatarajia na wengine kuanza kuwa wahalifu hapa mijini. sasa baya likwapi au uelewa ulikuwa mdogo?
Nyinyi mnaona hafai mbona hamtaji majina ambayo ya watu mnaofikiri wanaweza shika nyadhifa mbalimbali.
Mara nyingi Sisi watanzania tunapenda kuponda tu bila ya kutoa mapendekezo wala ushauri na hii ndio sababu inayofufanya tushindwe kwenye mambo mengi muhimu.
 
yaani Prof. Lipumba hadi leo anakuwa considered yupo likizo pale UDSM?? hiyo ndio Tanzania bana!! watendaji wakuu ikifika hatua ya kuitetea/kuipendelea CCM wanatumia akili za matakoni si za kichwani!!!
 
Back
Top Bottom