MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,166
Mmh hapo hoja zako mbona zinaonekana kushindwa kuvunja nguvu hoja za home boy wangu? Well I dont know him insuch lakini kwa ulivyo mquote na wewe kuishia kushindwa kuzishinda hoja zake kwa hoja basi mi acha nimpe benefit of doubt japo hii kwake kuwa katibu mkuu hakuwezi kuisaidia kupunguza mwendo wa CCM kuwa chama cha upinzani.
Kuna baya zaidi ambalo halijatajwa hapa jf na labda lilisahaulika kwa ubaya wake.
Akiwa Mkurugenzi wa jiji ndo pia kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Mwembechai, ule wakati wa vuguvugu la waislamu. Nadhani alikuwa amevutwa sana na hakuwa na solution. Moja ya maneno yake ilikuwa kwamba;
"Nyie watu na kitabu chenu hicho, mutainama sana!" Kitabu alimaanisha Korani tukufu. Haya waislamu tuseme kabadilika?