LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,463
Thank youUkitaja tusiime ama english medium za kati.. huwezi taja IST.. naona kama umeweka mfano ambao hauna uhalisia wa uzi.. IST watoto hawabebi begi kubwa na kufatwa na school bus alfajiri na kurudishwa jioni... uwezo wa ist unajulikana.. na sizani kama kuna member humu ana mtoto ist.. maana mitaa niliyokulia sijawai kuona mtu anasoma.IST
Chuo nimesoma udsm sijawai kuona mwanafunzi kasoma IST then akaja udsm... weka mfano wenye uhalisia ndugu
Ukisoma IST lazma uende nje ya nchi ili ufafanane mtaala na wao
ACSEE na IB(Baccalaureate)haviendani