Why watu wenye mafanikio wamesoma kayumba? Samatta, Diamond, Doctors, Engineers, President etc

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,532
Habari wadau..

Mbona watu wengi wenye mafanikio wamesoma kayumba?

Hizi shule za kizungu zinakosea nini kuandaa watoto ?

Nimepima sector zote.. kuanzia michezo, business, politics, music, engineering naona kayumba wanaongoza...

Nawaza tu hizi shule za mtoto kubeba begi kubwa na kuchukuliwa na school bus saa 12 asubuh na kurudi saa 10 jioni au saa 12 jioni. Zinaweza kweli kumuandaa samatta au mchezaji hata wa yanga na simba mbeleni

Nawaza diamond wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli

Nawaza magufuli wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli?

Nawaza mwanangu nimpeleke goverment school kisha niwape walimu hela za tution shuleni kwake.. na kisha ada ambayo ningelipa tusiime nijikaze na kujitahidi kumjengea kila mwaka chumba kimoja...

Target kila mwaka chumba kimoja... ili nikishindwa maisha wapate hata pa kupangisha kama nikiondoka duniani...kuliko kupeleka ada shule ambazo imetokea corona ya miezi miwili tu zinanyanyasa walimu. Shule haziruhusu talent zinakomaa na mtoto siku nzima anashinda darasani hapati hata muda wa kucheza
 
Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.

Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,

Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.

Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k

Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?

Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.

Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,

Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.

Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k

Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?

Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitaja tusiime ama english medium za kati.. huwezi taja IST.. naona kama umeweka mfano ambao hauna uhalisia wa uzi.. IST watoto hawabebi begi kubwa na kufatwa na school bus alfajiri na kurudishwa jioni... uwezo wa ist unajulikana.. na sizani kama kuna member humu ana mtoto ist.. maana mitaa niliyokulia sijawai kuona mtu anasoma.IST


Chuo nimesoma udsm sijawai kuona mwanafunzi kasoma IST then akaja udsm... weka mfano wenye uhalisia ndugu
 
Shule za kimasikini watoto uwa wanajichanganya kila nyanja mitaani ndio maana ata bongo zao zinakuwa janja tofauti na hawa Broiler wa international school..

mfano hai unaweza ukawachukua watoto wawili wa kayumba na international ukawaacha mji ambao wote ni wageni kwa muda. Mtoto international atakufa njaa ila kayumba atajichanhanya na anatoka maisha apo apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaja tusiime ama english medium za kati.. huwezi taja IST.. naona kama umeweka mfano ambao hauna uhalisia wa uzi.. IST watoto hawabebi begi kubwa na kufatwa na school bus alfajiri na kurudishwa jioni... uwezo wa ist unajulikana.. na sizani kama kuna member humu ana mtoto ist.. maana mitaa niliyokulia sijawai kuona mtu anasoma.IST


Chuo nimesoma udsm sijawai kuona mwanafunzi kasoma IST then akaja udsm... weka mfano wenye uhalisia ndugu
Unasemaje IST Ni mfano usio na uhalisia wakati shule ipo hapa hapa Tanzania,

Wazazi tuko nao humu humu mitaani na watoto wao wako pale IST wanasoma.

Au IST nayo sio private school?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasemaje IST Ni mfano usio na uhalisia wakati shule ipo hapa hapa Tanzania,

Wazazi tuko nao humu humu mitaani na watoto wao wako pale IST wanasoma.

Au IST nayo sio private school?

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
 
Wewe unaona kucheza simba au yanga nayo ni mafanikio. Watu wengi tu wamesoma international school na issues zao ni international. Sasa mtoto wa IST au ISM akafanye nini simba na yanga acha masihara na maisha ya watu bana😂😂😂😂

Tatizo humu watu mnajikuza sana... ada ya tusiime wasi wasi ila mnaongelea IST kama mnasomesha watoto huko vile. Umeona walimu wa IST wanalalamika hawajalipwa kisa corona?

Soma uzi wangu vizuri aya ya mwisho irudie kuisoma
 
Naona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
Siko hapa kubishana,

ILA UKWELI UTABAKI PALE PALE,

Kama unataka elimu Bora, na Unufaike na jasho lako kwa unaemsomesha.

Usjiuluze mara mbili mbili, Peleka mwanao INTERNATIONAL SCHOOLS.

Achana na kuwaza huu ushuzi wa TUSIIME, GREEN ACRES, na Utopolo wingine wa KAYUMBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo humu watu mnajikuza sana... ada ya tusiime wasi wasi ila mnaongelea IST kama mnasomesha watoto huko vile

Soma uzi wangu vizuri aya ya mwisho irudie kuisoma
Jikite kwenye mada mkuu, acha kujadili watu.

Suala lako Ni kusomesha Mtoto wako PRIVATE SCHOOL vs GOVERNMENT SCHOOL.

Sasa unapoambiwa habari za IST, ukaanza kutoa povu.

Wakati nayo pia Ni private school.

TUNABAKI TUNAKUSHANGAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap! Naunga mkono hoja.

R.Mengi kasoma kayumba, ila Masters kasoma Ulaya.

Exposure ya Ulaya na bongo Ni tofaut, lazima gap lionekane TU

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliosoma bongo hufundishwa ku cremisha wafaulu pepa with little exposure mwenye master's nje ya nchi ya engineering ni sawa na profesa watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jikite kwenye mada mkuu, acha kujadili watu.

Suala lako Ni kusomesha Mtoto wako PRIVATE SCHOOL vs GOVERNMENT SCHOOL.

Sasa unapoambiwa habari za IST, ukaanza kutoa povu.

Wakati nayo pia Ni private school.

TUNABAKI TUNAKUSHANGAA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
 
Back
Top Bottom