kifupi ni kwamba ccm wame kaa madarakani miaka 40 nahakuna maendeleo yoyote yale wame fanya na wao wana jua kila siku waziri mkuu anasema kwamba tuna chekwa tuna shindwa na rwanda nchi ndogo wana taka maendelea kwa uchungu wa maendeleo, tatizo la watanzania wengi wana njaa na ukiwa nanjaa ni rahisi sana ku iuza haki yako ili watoto wapate kula na n.k lakini jinsi miaka inavyo kwenda watu wana elimika kama jirani zetu wa kenya ccm mwisho wao uko karibuni siku watu watasema hii nchi siyo ya wachache or ya kifalme watu wana rithi shana na hawa jali machungu yetu wanacho jali ni bank acount zao zime jaaa vipi?inauma sana.