Why did I get married?

Wote huwa tunakosea gaga hata usipobadili tumekuelewa shosti, Infact ndoa ndivo zilivo hata hizi za njoo tuishi nazo hivohivo tu siku nyingine raha siku ingine karaha ili mradi siku zinaenda.... ila haya yote yanavumilika kama tu mpo na mapenzi ya kweli, yakiwa hayapo mwana wane ukibugudhiwa kidogo tu ni unatimua uvumilie nini sasa wakati humpendi? Nawashauri vijana wajiingize kwenye ndoa hasa hizi za milele wakiwa wamehakikisha kwamba wako kwenye love
 
Gaga am telling you that is a million dollar question... Naamini comments na sababu za
watu weengi zitakua very benefiting kwa tulio wana ndoa na wale wanaofikiria...

Jibu zuri ni kusema love... maana wanadamu we believe saana in fairy tales..
but most importantly ni kua kinachotufanya to stay married ni tofauti na kwanini mara ya
kwanza ulifunga ndoa... kwa wenye bahati wachache they stay in love forever...
lakini katika maisha yetu haya yenye pressing issues kibao inakua kazi saana kumaintain the vibe..
Personally hapa nashindwa kuingia saana kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo
wangu na wale wanao pitia hizi thread wakiunganisha one and one watajua the person
behind the Avatar...
Asha kumbe na wewe umeolewa? Your hubby must be a lucky guy.. hivi mnawezaje kusurf muda wote kama hivi wakati huo mume anakuwa wapi? angalieni wajameni nawapenda nyote, maana mie hapa tu tunabanana bado kuhalalisha nikiingia tu akiwepo utaona sura tu kwamba kakasirika
 
Wote huwa tunakosea gaga hata usipobadili tumekuelewa shosti, Infact ndoa ndivo zilivo hata hizi za njoo tuishi nazo hivohivo tu siku nyingine raha siku ingine karaha ili mradi siku zinaenda.... ila haya yote yanavumilika kama tu mpo na mapenzi ya kweli, yakiwa hayapo mwana wane ukibugudhiwa kidogo tu ni unatimua uvumilie nini sasa wakati humpendi? Nawashauri vijana wajiingize kwenye ndoa hasa hizi za milele wakiwa wamehakikisha kwamba wako kwenye love
kweli kabisa kama mmeoana kwa kuoneana huruma hapo uvumilivu hakuna kabisa
 
Asha kumbe na wewe umeolewa? Your hubby must be a lucky guy.. hivi mnawezaje kusurf muda wote kama hivi wakati huo mume anakuwa wapi? angalieni wajameni nawapenda nyote, maana mie hapa tu tunabanana bado kuhalalisha nikiingia tu akiwepo utaona sura tu kwamba kakasirika


At least you have the guts ya kuniuliza face to face, napata PMs kibao kuhusu hio issue...lol
Maelezo labda na kwa benefit ya weengi... nimeolewa with two kids wapo boarding kawaida
we are both busy parents... thus beta that way, my hubby yupo nje kidogo, nipo likizo and
doing reports at the time being thus full kutumia net as while as compilation but in a relaxing way
Shantel hubby akirudi au nikiwa fully occupied you will definately know for it seems umenifuatilia saana
kwa ukaribu...lol... am always with the laptop by the way, siku za ofisi i don't even log off (that addicted!!)
But working on kujaribu kuachia JF... the more questions am getting the more nguvu mnanipa...

Hope umeridhika dear... enjoy...:A S-rose:

And thankyou for your concern.
 
Habari za jioni wakuu wote, hivi napenda kuwauliza wale walioko kwenye ndoa kuna wakati unajiuliza hili swali?? na badae unapata majibu yake?? na badae unajua kwa nini ulijiuliza??
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....

Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?

Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu

Gaga have you watched the film Why Did I Get Married?. Na nyingine Why Did I Married Too?

 
Last edited by a moderator:
At least you have the guts ya kuniuliza face to face, napata PMs kibao kuhusu hio issue...lol
Maelezo labda na kwa benefit ya weengi... nimeolewa with two kids wapo boarding kawaida
we are both busy parents... thus beta that way, my hubby yupo nje kidogo, nipo likizo and
doing reports at the time being thus full kutumia net as while as compilation but in a relaxing way
Shantel hubby akirudi au nikiwa fully occupied you will definately know for it seems umenifuatilia saana
kwa ukaribu...lol... am always with the laptop by the way, siku za ofisi i don't even log off (that addicted!!)
But working on kujaribu kuachia JF... the more questions am getting the more nguvu mnanipa...

Hope umeridhika dear... enjoy...:A S-rose:

And thankyou for your concern.

Hapo kwenye red unarudi kwa yule mwanasiasa aliyekuleta hapa eh? Wee magamba eh?
 
Naingia sooon nikitoka tu honeymoon brake ya kwanza humu kujibu thread yako dear
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Asha kumbe na wewe umeolewa? Your hubby must be a lucky guy.. hivi mnawezaje kusurf muda wote kama hivi wakati huo mume anakuwa wapi? angalieni wajameni nawapenda nyote, maana mie hapa tu tunabanana bado kuhalalisha nikiingia tu akiwepo utaona sura tu kwamba kakasirika

Hii post imenisikitisha sana. Where is this women emancipation we keep talking about? Inabidi msort that out kabla ya kuhalalisha. Seriously.
 
Hapo kwenye red unarudi kwa yule mwanasiasa aliyekuleta hapa eh? Wee magamba eh?


hahahahah... napumzika the good thing the outreach which i have to do within a few days itaniokoa....lol
Sio magamba bana... hivi have you seriously watched me closely??? angalia my left hand side..
 
Hii post imenisikitisha sana. Where is this women emancipation we keep talking about? Inabidi msort that out kabla ya kuhalalisha. Seriously.


EMT as much as we talk of emanciepation... kuna factors ambazo zaweza zuia uwepo
hapa for long than when single.. guess that is what she was hitting @ kama vile
if you are married would you want your woman this time hapa while you are in bed??
Another thing ni kwamba while am hapa i use my time ipasavyo, kuna watu wengi
saana wanakua mda mrefu hapa jamvini but upande wa pili hivyo they are not noticed...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hahahahah... napumzika the good thing the outreach which i have to do within a few days itaniokoa....lol
Sio magamba bana... hivi have you seriously watched me closely??? angalia my left hand side..

Not really. Had I been seriously watching you closely, I would have watched not only your left hand side but also on other essential parts as well. Such as your right hand, your left eye, your right eye, your eye brows, your half hidden nose, et cetera
 
Not really. Had I been seriously watching you closely, I would have watched not only your left hand side but also on other essential parts as well. Such as your right hand, your left eye, your right eye, your eye brows, your half hidden nose, et cetera.


hahaha... trying to soften it up... guess that is what friends are for...
so typical to be asked and not responded to almost dissapointed..
But then i remind my self to look at the sig.. and every thin seems fine...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
EMT as much as we talk of emanciepation... kuna factors ambazo zaweza zuia uwepo
hapa for long than when single.. guess that is what she was hitting @ kama vile
if you are married would you want your woman this time hapa while you are in bed??
Another thing ni kwamba while am hapa i use my time ipasavyo, kuna watu wengi
saana wanakua mda mrefu hapa jamvini but upande wa pili hivyo they are not noticed...

If I don't what her to be a Great Thinker, then I won't let her to touch JF. After all, its all about trust. If you trust and believe in each other, I don't see why I would object my woman to here whilst I am in bed. Even, if I object, she would still be here if she wants anyway. Just imagine before travelling your husband banned you to touch JF. Ban yake ingefanya kazi kweli?
 
If I don't what her to be a Great Thinker, then I won't let her to touch JF. After all, its all about trust. If you trust and believe in each other, I don't see why I would object my woman to here whilst I am in bed. Even, if I object, she would still be here if she wants anyway. Just imagine before travelling your husband banned you to touch JF. Ban yake ingefanya kazi kweli?


Hapo EMT frankly the safe answer is let me wait and see for nimeanza jamvi wakati wa
am in a uzushili likizo and he was not around... I only know kua ni mbali bado for him to be...
But i do like and respect your perspective.... it has given me a true insight.. Thank you...
naona sasa kweli ni log off, for i suddenly find my self tired... take care EMT...
and in reference to the other thread about your comment on ballads do me a favour go listen
upya one of this songs Disappear/Broken kearted/Halo then will be looking foward to your feedbak kule...
 
At least you have the guts ya kuniuliza face to face, napata PMs kibao kuhusu hio issue...lol
Maelezo labda na kwa benefit ya weengi... nimeolewa with two kids wapo boarding kawaida
we are both busy parents... thus beta that way, my hubby yupo nje kidogo, nipo likizo and
doing reports at the time being thus full kutumia net as while as compilation but in a relaxing way
Shantel hubby akirudi au nikiwa fully occupied you will definately know for it seems umenifuatilia saana
kwa ukaribu...lol... am always with the laptop by the way, siku za ofisi i don't even log off (that addicted!!)
But working on kujaribu kuachia JF... the more questions am getting the more nguvu mnanipa...

Hope umeridhika dear... enjoy...:A S-rose:

And thankyou for your concern.
Ahsante kwa kuchukua muda wako kunijibu vizuri, mie sio mwingiaji wa kila siku humu ila hivi karibuni kila nikiingia nakukuta nikitoka nakuacha, hata iwe saa saba usiku sasa uliposema umeolewa nikajiuliza ni muda gani unampa jamaa yako ambae ni mume kabisa, wakati sie hawa wadandiaji tu wanafura hata akikwona unatuma msgs... Pole kwa upweke maana mume na watoto wote hawapo
 
Hapo EMT frankly the safe answer is let me wait and see for nimeanza jamvi wakati wa
am in a uzushili likizo and he was not around... I only know kua ni mbali bado for him to be...
But i do like and respect your perspective.... it has given me a true insight.. Thank you...
naona sasa kweli ni log off, for i suddenly find my self tired... take care EMT...
and in reference to the other thread about your comment on ballads do me a favour go listen
upya one of this songs Disappear/Broken kearted/Halo then will be looking foward to your feedbak kule...
Kweli ulikuwa na haki ya kupumzika, unaweza jikuta unaumwa hivihivi ukiendekeza kusurf mpz
 
Hii post imenisikitisha sana. Where is this women emancipation we keep talking about? Inabidi msort that out kabla ya kuhalalisha. Seriously.
Usisikittike saana EMT hii wengi tuko addicted yaani unajikuta upo bize unasahau hata kula
 
Naingia sooon nikitoka tu honeymoon brake ya kwanza humu kujibu thread yako dear
Mhhh mpaka uolewe ndio uje kuchangia? basi mpaka upate na uzoefu kwa hiyo nikutegemee humu miaka mitano ijayo sio eee, hahahahaaahaaha umenichekesha sana BB
 
Back
Top Bottom