Why did I get married?

Gaga

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,558
1,968
Habari za jioni wakuu wote, hivi napenda kuwauliza wale walioko kwenye ndoa kuna wakati unajiuliza hili swali?? na badae unapata majibu yake?? na badae unajua kwa nini ulijiuliza??
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....

Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?

Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu
 
TUNASHUKURU KWA MAONI YAKO ILA MIE SIELEWI Hata nichangie nini maana ushajibu kila kitu....pole lakini kama nitakufanya ujiulize "WHY DID I CREATE AND SEND THIS THREAD"
 
Gaga am telling you that is a million dollar question... Naamini comments na sababu za
watu weengi zitakua very benefiting kwa tulio wana ndoa na wale wanaofikiria...

Jibu zuri ni kusema love... maana wanadamu we believe saana in fairy tales..
but most importantly ni kua kinachotufanya to stay married ni tofauti na kwanini mara ya
kwanza ulifunga ndoa... kwa wenye bahati wachache they stay in love forever...
lakini katika maisha yetu haya yenye pressing issues kibao inakua kazi saana kumaintain the vibe..
Personally hapa nashindwa kuingia saana kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo
wangu na wale wanao pitia hizi thread wakiunganisha one and one watajua the person
behind the Avatar...
 
TUNASHUKURU KWA MAONI YAKO ILA MIE SIELEWI Hata nichangie nini maana ushajibu kila kitu....pole lakini kama nitakufanya ujiulize "WHY DID I CREATE AND SEND THIS THREAD"
Usijali we leta mauzoefu ushawahi kujiuliza hivi?
 
Gaga am telling you that is a million dollar question... Naamini comments na sababu za
watu weengi zitakua very benefiting kwa tulio wana ndoa na wale wanaofikiria...

Jibu zuri ni kusema love... maana wanadamu we believe saana in fairy tales..
but most importantly ni kua kinachotufanya to stay married ni tofauti na kwanini mara ya
kwanza ulifunga ndoa... kwa wenye bahati wachache they stay in love forever...
lakini katika maisha yetu haya yenye pressing issues kibao inakua kazi saana kumaintain the vibe..
Personally hapa nashindwa kuingia saana kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo
wangu na wale wanao pitia hizi thread wakiunganisha one and one watajua the person
behind the Avatar...
Ahsante AshaD uliyosema yameniingia vizuri tu, ndoa unayoifikiria ukiwa unakuwa mara nyiingi inakuwa tofauti, hivi ulishawahi ukiwa msichana mdogo kuota ndoa yako na harusi itakavyokuwa na ukiolewa utakavyoishi, ukija kuwa mtu mzima unakuta tofauti
 
wengi wanaoa na kuolewa ili jamii iwakubali

kuna umri unaulizwa hujaooa tu?
utaolewa lini?????

wengi tuna ingia kwenye ndoa ili jamii iache tu kutuuliza......

sio wote walio kwenye ndoa walitaka kuwa kwenye ndoa

but wapo wengine wako happy na ndoa
 
wengi wanaoa na kuolewa ili jamii iwakubali

kuna umri unaulizwa hujaooa tu?
utaolewa lini?????

wengi tuna ingia kwenye ndoa ili jamii iache tu kutuuliza......

sio wote walio kwenye ndoa walitaka kuwa kwenye ndoa

but wapo wengine wako happy na ndoa
The boss hivi mtu kwa nini aoe sababu ya kitu fulani, yaani kuridhisha wazazi, au jamii huoni anajiumiza, r u happy kwenye married yako? ushawahi kujutia na ku wish usingeoa?
 
Ahsante AshaD uliyosema yameniingia vizuri tu, ndoa unayoifikiria ukiwa unakuwa mara nyiingi inakuwa tofauti, hivi ulishawahi ukiwa msichana mdogo kuota ndoa yako na harusi itakavyokuwa na ukiolewa utakavyoishi, ukija kuwa mtu mzima unakuta tofauti


Nashukuru Gafa dear in most cases hua tunakubaliana.... thank you for the thread... i bliv we wil get more point of views...
 
Gaga am telling you that is a million dollar question... Naamini comments na sababu za
watu weengi zitakua very benefiting kwa tulio wana ndoa na wale wanaofikiria...

Jibu zuri ni kusema love... maana wanadamu we believe saana in fairy tales..
but most importantly ni kua kinachotufanya to stay married ni tofauti na kwanini mara ya
kwanza ulifunga ndoa... kwa wenye bahati wachache they stay in love forever...
lakini katika maisha yetu haya yenye pressing issues kibao inakua kazi saana kumaintain the vibe..
Personally hapa nashindwa kuingia saana kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo
wangu na wale wanao pitia hizi thread wakiunganisha one and one watajua the person
behind the Avatar...
mwaga razi bana sufuria haiogopi moto na askari haogopi mlio wa bunduki!
 
The boss hivi mtu kwa nini aoe sababu ya kitu fulani, yaani kuridhisha wazazi, au jamii huoni anajiumiza, r u happy kwenye married yako? ushawahi kujutia na ku wish usingeoa?

nawaona wengi
as for me.....
mhhh where do i start.....??.lol
 
The boss hivi mtu kwa nini aoe sababu ya kitu fulani, yaani kuridhisha wazazi, au jamii huoni anajiumiza, r u happy kwenye married yako? ushawahi kujutia na ku wish usingeoa?


Naam mara kibao tu.
 
Habari za jioni wakuu wote, hivi napenda kuwauliza wale walioko kwenye ndoa kuna wakati unajiuliza hili swali?? na badae unapata majibu yake?? na badae unajua kwa nini ulijiuliza??
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....

Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?

Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu

Kumbuka mpenzi siku ile pale kanisani tulipo kula kiapo mbele ya kasisi, wazazi wapande zote mbili na marafiki kuwa utanipenda kwa shida na kwa rahe,maradhi na afya,umasikini na utajiri ila mambo yote ya siri hutamwambia mtu.sintakuudhi tena.....nakupenda mpenzi.
 
mi nimeoa kwa sababu haka kabinti nilipokatokea kila gia kalikuwa kanaikataa mpaka nilipokaambia nitakaoa
kakakubali,but mpaka nilipotoa mahali na kuweka mambo hadharani ndipo gulipoanza kusafiri pamoja
 
Ngoja nikae chini nifanye ile kitu inaitwa 're birth', with it akili yangu ita rewind taratibu,nitapata picha nzima ya maisha yangu kikiwemo kipindi cha kufukuzia,ku win,kuoa,mwanzo wa timbwili,talaka,kupenda tena, kuoa,valangati,talaka tena...............another circle......well ....well....nikimaliza hilo zoezi God willing nitarudi kwenye uzi huu,in the meantime good evening Gaga and the rest of the members mliopo kwenye hii thread.
 
TUNASHUKURU KWA MAONI YAKO ILA MIE SIELEWI Hata nichangie nini maana ushajibu kila kitu....pole lakini kama nitakufanya ujiulize "WHY DID I CREATE AND SEND THIS THREAD"
Hapa ndo tunaona tofauti kati ya wanaume na wanawake. Who Cares, Gaga hakuwa anataka solution na siamini kama anatatizo, yeye alikuwa anataka kujieleza (maisha ya ndoa) na anategemea wengine (watakao mwelewa) watoe uzoefu wao katika ndoa. Naelewe ni vigumu kuelewa kwasababu sisi wanaume hatuko wired hivyo.
 
Ngoja nikae chini nifanye ile kitu inaitwa 're birth', with it akili yangu ita rewind taratibu,nitapata picha nzima ya maisha yangu kikiwemo kipindi cha kufukuzia,ku win,kuoa,mwanzo wa timbwili,talaka,kupenda tena, kuoa,valangati,talaka tena...............another circle......well ....well....nikimaliza hilo zoezi God willing nitarudi kwenye uzi huu,in the meantime good evening Gaga and the rest of the members mliopo kwenye hii thread.


Hakikisha once you deliver you deliver it all... waiting patiently...
 
Hata sina hakika....

Mi kwa kweli siku akinikwanza huwa najiuliza hivi huyu mtu nilimtoa wapi?? Tena huwa namuona mbayaaa mhh

Tukiwa kwenye raha zetu namuona bonge la handsome, najivunia kumpenda. Hahahha

Niliingia kwny ndoa kupenda mwenyewe na shukuru vikwazo ni vichache sana kulinganisha na upendo.
 
Back
Top Bottom