Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Habari za jioni wakuu wote, hivi napenda kuwauliza wale walioko kwenye ndoa kuna wakati unajiuliza hili swali?? na badae unapata majibu yake?? na badae unajua kwa nini ulijiuliza??
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....
Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?
Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....
Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?
Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu