kuna mdada tupo nae ofcn yani cjui niseme kamshika mume wa mtu cjui wameshikana wala celewi,yaani ndio kageuka mke, asubuhi analetwa ofcn, mchana anachukuliwa lunch, jioni anakuja kurudishwa home, party na mambo kibao wapo pamoja, na wana miaka 5 sasa, cku moja nilmuuliza kama ana mpango wa kuwa na familia yake akanijibu "ndoa zinasumbua nitabanana hapa hapa kwanza napata kila aina ya starehe, sasa niolewe nitake nini tena"
Nyamayao,embu mkumbushie huyo dada anachofanaya ni dhambi,maana najua huko kwa original wife hakuna amani jamani,awe na huruma kwa watoto kidogo jamani,mambo mengine bwana sisi binadamu tu wakatili kwelikweli!!!!