TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
Nani Alaumiwe.......
Mhh... Haya ya kufukua ya zamani yametoka wapi jamani??
Mbona wengine tumeshakua wachungaji na haya mambo tumeshasau?
Nani Alaumiwe.......
MBA wengi wanaotafutwa na dada zetu ni wale wenye uwezo, Bachellors wengi wanakuwa ndo wanatafuta au wanaanza maisha so Mpunga unakuwa bado haujakubali na hao wanawake si wanakuwa wanafuata mikwanja ndo maana wana rely sana kwa hao ma MBA. na MBA hawezi kukubana sana kwa sababu anakuwa mtu wa family, na mademu wengi siku hizi utakuta ana MBA wake na Jamaa ambaye anatarajia kuishi naye hapo mbeleni so kwa kuwa MBA hamchungi kwa sana ndo maana anafurahia sana huo uhuru ambao unamuwezesha vile vile kuwa na dogodogo size yake pembeni. I have experience on that.