Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,504
Mara nyingi wanawake wanaopenda kutembea na waume za watu huwaga ni watu wenye uwezo mdogo sana wa kiakili. Anayebisha na afanye kautafiti anecdotal kadogo tu aone.
Mara nyingi wanawake wanaopenda kutembea na waume za watu huwaga ni watu wenye uwezo mdogo sana wa kiakili. Anayebisha na afanye kautafiti anecdotal kadogo tu aone.
Sio kweli. The women are just curious!
Na wanaume wanaotongoza msichana na huku anajua ana mke wake na huyo naye uwezo wa akili utakuwa mdogo pia.Mara nyingi wanawake wanaopenda kutembea na waume za watu huwaga ni watu wenye uwezo mdogo sana wa kiakili. Anayebisha na afanye kautafiti anecdotal kadogo tu aone.
Sio kweli. The women are just curious!
Na wanaume wanaotongoza msichana na huku anajua ana mke wake na huyo naye uwezo wa akili utakuwa mdogo pia.
Mie huwa nashangaa, utakuta mwanaume ana mke na watoto lakini bado anataka msichana, mbaya zaidi utakuta mtu anaficha kama ameoa, au mwingine ana pete yake ya ndoa kidoleni halafu bado anakaza kuchombeza mdada. Tena anaganda kama ruba. Sasa mwenye akili ndogo ni mwanaume asiyejua maana ya kuoa na kwenda kuparamia wasichana.
Angalia kwanza sababu zilizotolewa....
Kwani weye ndo yanayokukuta hayo?Married But Unhappy,...
Kwani weye ndo yanayokukuta hayo?
Maana hizo spell ndo jina lako.
Hawa nao kwa ku-copy paste, aibu tupu.
Habarini wandugu.
Jana nikiwa namalizia weekend yangu nilikuwa naperuzi jarida la Bang! nikakuta article moja ikielezea confessions from single women as to why they are more interested in married men -wenyewe wamewabatiza abbreviation ya MBA-Married But Available.
Kwa wote walioconfess ndani ya jarida hilo wamesema kuwa these MBAs wanavyo vitu ambavyo bachellors wengi hawana. Mfano (ingawa kuna sababu nyinginezo ambazo ziko kwa wanawake hawa zaidi) ila hizi zimenivutia;
1. Wanacare kuliko bachellors
2. They take you seriously than bachelors and most of all
3. They happen to have mature advice to these ladies problems than the bachelor ones
4. Wanakupa uhuru wako-huulizwi where have you been or why are you late? e.t.c
I wonder to what extent this is true, ningetamani kama Bang! wangewahoji kina kaka/shemeji pia kujua kwa nini wanaprefer married than single ladies.
du hawa wadudu wanaume hawa ona sasa huyo si bora tu asingeoa?kuna mdada tupo nae ofcn yani cjui niseme kamshika mume wa mtu cjui wameshikana wala celewi,yaani ndio kageuka mke, asubuhi analetwa ofcn, mchana anachukuliwa lunch, jioni anakuja kurudishwa home, party na mambo kibao wapo pamoja, na wana miaka 5 sasa, cku moja nilmuuliza kama ana mpango wa kuwa na familia yake akanijibu "ndoa zinasumbua nitabanana hapa hapa kwanza napata kila aina ya starehe, sasa niolewe nitake nini tena"
du hawa wadudu wanaume hawa ona sasa huyo si bora tu asingeoa?
Kweli kabisa nimeshuhudia wanaume wakisema hivyo du ila mimi nikiwakamata nitaonyesha mfanoAliowa kupata status kwenye jamii eti naye ana mke na familia looo!