Who is IGP Mwema? CV Please!

Mwema ALISOMA na JK shule ya sekondari TANGA ufundi. Alipenda michezo, alikuwa kipa wa timu ya shule-footbal. Amefanya kazi polisi wa kimataifa-INTERPOL Narobi hadi 2005 alipoitwa na swahiba wake jk.
 
Kwa hilo basi Hii nchi watu waona ingia madarakani kiubest na kifedha. Maana mbona wote kama ni Mbumbumbu tu. hawana msaada wowote. Wanatudanganya na lugha mbovu za Kiinteligensia ''Utapeli" kumbe wamekusudia kumwaga damu. Yaelekea kuna mahali walisaini huko kuzimu kwamba wapite kutawala sasa wanatakiwa walipe na damu zetu watu tusio kuwa na hatia. Kama walivyo ua huko Arusha na mbeya ni wapi uliona?? Uk yenyewe wanafinzi waliandamana hata kuvunja kuta na kupiga Polisi hakuna mahali tulikoona wametumia silaha za moto. Hawa matahira wetu hapa wana ona ufahari kufanya Majaribio kwa raia wema. Si waombe wapelekwe pori ambalo limezidiwa na Nyumbu waka walenge hao na sio sisi, Wanaudhi washenzi wakubwa. Haswa Huyo Kandengenye Jina kama unakunya Anatakiwa aondoke Arusha.
 
Wakati Mahabusu wanafariki Mbeya, Mwema alikuwa likizo. Wale waliotuhumiwa kuwaweka Mahabusu katika chumba kidogo ambao walikuwa Maaskari, walikamatwa na kuwekwa ndani kusubiri kosa la kusababisha vifo. Lakini nao wakatoroka, Mwema akaahirisha likizo kwenda kushiriki zoezi la kuwatafuta. Wakakamatwa wote kwa uongozi wa Mwema. Akapandishwa cheo kwa interpol.

Hajaoa Ndugu wa Kikwete, Mama yake Khadija Mwema hana undugu na Kikwete kabisa. Mke wa pili pia.

Hapana mzee hapo penye red pana tatizo. Waliowekwa ndani sio waliosababisha tatizo. Hii nina uhakika kabisa maana ndugu yangu kabisa ni one of them. Yeye alikua ndio ni mmoja wa hao watu wanaolinda hilo gereza. Anasema mahabusu walikuwa wanalalamika wanakosa hewa, wakaenda kuwaambia wakubwa wao walipoona makelele/vilio vinazidi. Wakubwa wao wakasema waacheni huko huko. Kosa lake na wenzake waliokuwa wanalinda hao mahabusu ni ni kukubali order. Hakuna mkubwa hata mmoja aliyetoa order aliyepelekwa mahakamani trust me, wao walivyopelekwa mahakamani waliambiwa wao ndio waliokua eneo la tukio so walitakiwa kutumia "common sense" kwenye maamuzi yao. Wao ndio waliwaona jinsi mahabusu/marehemu walivyokua wanataabika kwakukosa hewa. Mchezo ukaishia hapo wakapewa adhabu yao ndio wanatumikia kifungo mpaka leo.
 
Ni kweli polisi wengi hawa muungi mkono na ile polisi jamii aliyoianzisha kwani wanadai inawafanya polisi wafanye kazi kwa hofu ya kushitakiwa...tatizo la mwema ni ukabila na kukubali kuingiliwa na wanasiasa kwenye utendaji kazi (sisiem). Pili amepotoka kwa kutaka kuajiri askari darasa la saba kwa kikezo cha kwamba wasomi wanawasumbua na pia wanawakimbia...jeshi la polisi linatakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa saana.
 
Wakati Mahabusu wanafariki Mbeya, Mwema alikuwa likizo. Wale waliotuhumiwa kuwaweka Mahabusu katika chumba kidogo ambao walikuwa Maaskari, walikamatwa na kuwekwa ndani kusubiri kosa la kusababisha vifo. Lakini nao wakatoroka, Mwema akaahirisha likizo kwenda kushiriki zoezi la kuwatafuta. Wakakamatwa wote kwa uongozi wa Mwema. Akapandishwa cheo kwa interpol.

Hajaoa Ndugu wa Kikwete, Mama yake Khadija Mwema hana undugu na Kikwete kabisa. Mke wa pili pia.

Interpol sikupanda cheo ni nafasi za kubadilishana wapo wengi huko; huyu bwana ni hovyo siyo makini mababaishaji sana hata akiwa DSM RCO alikuwa na scandal za kuuwa na kuonea raia sana
 
pole sana mchangiaji ila ulitoka nje ya mada kidogo nadhani thread hii inazungumzia cv ya mwema na si mijisifa hapa ni pahali pa intelectual si tu unapost hata kama huna jambo la msingi.
Acha udictator wa kizamani..wanaochangia wote wanamchango fulani kuhusu post uliyorusha.We si umeuliza Mwema ni nani? Sasa limitation za nini katika michango yao? utaendea kula nyundo za kichwa sana ukilazimisha mawazo yako binafsi katika hii forum.
 
IGP mwema zaidi ya elimu kama ilivyoelezwa, Nyumbani kwao ni Pale machame (Nkuu), jirani yake ni Mzee mengi. Mama yake ni mtu wa swala tano na eneo wanalioshi ndio eneo tu lililo na msikiti, pia nilipata kusikia kuwa Afande mwema yeye sio mchaga kwa maana ya mmachame bali ni mngazija ikielezwa kuwa baba yake alikuwa mngazija kutoka visiwa vya ngazija, mwenye kujua hili kwa ufasaha anaweza kutuhabarisha.
 
Mwenye CV ya aliekuwa mgombea mwenza wa Slaa jamani atuletee ilu tulinganishe na ya mwema...


My take:

Kuwa na hekima sio kuwa na elimu kama hivyo basi mababu zetu wasingekuwa na hekima. Na Mwema ni msikivu hapo awali alisifiwa sana hapa JF ila kwa yaliyotekea Arusha nasisitiza hakuna wa kuyafurahia ila yana ushawishi wa kisiasa zaidi. Katiba ndio suluhisho ya yote haya IGP hawezi kwenda kinyume na matakwa ya aliemteua! Au hii pia mnataka kuwa na degree kuijua?

ubeti wa chini ndo umekolea zaidi
rudia vina vyake.
 
IGP mwema zaidi ya elimu kama ilivyoelezwa, Nyumbani kwao ni Pale machame (Nkuu), jirani yake ni Mzee mengi. Mama yake ni mtu wa swala tano na eneo wanalioshi ndio eneo tu lililo na msikiti, pia nilipata kusikia kuwa Afande mwema yeye sio mchaga kwa maana ya mmachame bali ni mngazija ikielezwa kuwa baba yake alikuwa mngazija kutoka visiwa vya ngazija, mwenye kujua hili kwa ufasaha anaweza kutuhabarisha.

huyu jamaa mi namjua kama mkulima tu wa miwa na migomba huku mabogini njoro, akiwemo mzee mwena na abdala mwema!
 
huyu ndugu ni mtumishi wa umma.

Baadhi ya maamuzi afanyayo yamejikita kwenye hisia na fanatism kwa chama tawala badala ya misingi ya kisheria.

Ni wajibu, na haki yetu kumdadavua huyu ndugu yetu tufahamu alifikafikaje huko na pia kufahamu reasoning na judgement capacity yake imekaa vipi.

Waliosoma naye mtujuze tafadhali.



shemeji yake kikwete kama fisadi la u-dom.
 
Ukiwa na hekima pia unaweza ukatumia hekima zako kumshauri hata boss wako kwa kumonyesha madhara ya analotaka kutenda faida na hasara. Sasa kama wewe ni yes tu na hata unamtia kitanzi boss wako mh ! kidogo hapa hekima inakosekana na ndio tunaanza kuangalia upande wa pili hekima ya kusomea vipi nayo?

Wakuu
wapo viongozi ambao hawashauriki/hawambiliki. Kumbuka unapotoa ushauri anayeshauriwa ana haki ya kukubali au kukataa. Sasa utafanya nini endapo unayemshauri hasikii ushauri wako?. Wapo viongozi wazuri wa idara zetu za serikali lakini nadhani tatizo kubwa liko kwenye ngazi za juu.
 
Said Mwema yupo pale na amewekwa pale kama Mbwa wa kufukuza wezi, lakini wakati mwingine ili aonekane anafanya kazi huwafukuza hata marafiki wa mwenye nyumba. Huyu jamaa hafai kabisa Heri Jeshi lisilo na Kiongozi kuliko kuongozwa na Mwema.
 
It can't get better than Saidi Mwema. Hardworking, diligent, professional and very experienced member of police force. Hawa wengine wanatoa hoja na kudai kuwa "great thinkers" lakini ukitafakari unashindwa kuamini kama yanayoandikwa wakati wengine wanatoayanatokana na mtu anayeshughulisha "thinking faculty" yake hata kidogo. IGP Mwema was a good appointment.
 
Back
Top Bottom