kamandamakini
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 166
- 138
Tume enda signal ndio mbadala
Kurekebisha na kutafsiri ni sawa?Itafsiri kwa kiswahili
muiran hana intel hiyo... atakuwa muirani maana kutwa kucha kujiapiza kuishughulikia Marekani na Israili.
Inawezekana pia mambo ya covid tusubir tuoneInasemekana Facebook, Instagram na WhatsApp zimekuwa hacked na watu wasiojulikana hadi Mda huu Wafanyakazi wa Mitandao hiyo Wameshindwa kutatua tatizo hilo,
Duniani Kuna ma professional hackers hadi wameweza kuhack Apps zote kwa wakati mmoja hadi mdaa huu Mmiliki na wafanyakazi wameshindwa kutatua tatizo,
Inasemekana Kama Kuna wafanyakazi watabainika kuhusika na Kudukua Hizo Apps Watafukuzwa kazi
Kushutdown kwa Apps linaweza kuchukua Mda hadi kupatikana Solution
Poleni sana watumiaji wa mitandao kujitangaza na kuuza bidhaa zenu
Nilikosea instead of Hack nikaandika Huck
Nilijua ni hapa romania tuMimi nilijua ni madrid tu.. Kumbe hata huko home?
Mkuu uko Romania mtaa gani?? Hii nchi inaongoza kwa urozi ulaya nzimaNilijua ni hapa romania tu
Facebook fake itakuaje io
TCRA wenyewe wamesemaje?Inasemekana Facebook, Instagram na WhatsApp zimekuwa hacked na watu wasiojulikana hadi Mda huu Wafanyakazi wa Mitandao hiyo Wameshindwa kutatua tatizo hilo,
Duniani Kuna ma professional hackers hadi wameweza kuhack Apps zote kwa wakati mmoja hadi mdaa huu Mmiliki na wafanyakazi wameshindwa kutatua tatizo,
Inasemekana Kama Kuna wafanyakazi watabainika kuhusika na Kudukua Hizo Apps Watafukuzwa kazi
Kushutdown kwa Apps linaweza kuchukua Mda hadi kupatikana Solution
Poleni sana watumiaji wa mitandao kujitangaza na kuuza bidhaa zenu
Nilikosea instead of Hack nikaandika Huck
Atakuwa ni North Korea huyo au PutinMaadui wa Marekani wapo kazini
hapa bucharest mkuu 😊😊😊Mkuu uko Romania mtaa gani?? Hii nchi inaongoza kwa urozi ulaya nzima