FA4HqngWYAgx5lo
 
Inasemekana Facebook, Instagram na WhatsApp zimekuwa hacked na watu wasiojulikana hadi Mda huu Wafanyakazi wa Mitandao hiyo Wameshindwa kutatua tatizo hilo,

Duniani Kuna ma professional hackers hadi wameweza kuhack Apps zote kwa wakati mmoja hadi mdaa huu Mmiliki na wafanyakazi wameshindwa kutatua tatizo,
Inasemekana Kama Kuna wafanyakazi watabainika kuhusika na Kudukua Hizo Apps Watafukuzwa kazi

Kushutdown kwa Apps linaweza kuchukua Mda hadi kupatikana Solution

Poleni sana watumiaji wa mitandao kujitangaza na kuuza bidhaa zenu


Nilikosea instead of Hack nikaandika Huck
Ndo Jamaa utajiri wake umeshuka kwa 16 trillion za kitanzania sawa na 7 billion dollar
 
Back
Top Bottom