Wenye vyeti fake warudishwe kazini haraka kuliko hawa wanaomaliza Chuo sasa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Huyu jamaa yangu natamani arudishwe kazini. Naona yeye bado wenzie wawili tayari. Serikali iwakumbuke hawa wenye vyeti fake wapewe ajira kwanza kuliko wale fresh from schools.

Hawa wenye vyeti fake mkumbuke wengi walishaanza kuwa na family. Please please wote warudishwe kazini.
 
20230516_213435.jpg
 
ukienda hospitali ukamkuta daktari/mhudumu wa afya mwenye cheti feki utakubali akuhudumie?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom