Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Mbunge wa jimbo la Nyamagana mh Wenje(Chadema) atakuwa na mkutano mkubwa wa hadhala leo ktk uwanja wa Sahara ili kuzugumza na wapiga kura wake mambo mbali mbali yanayohusu jimbo la Nyamagana na taifa kwa ujumla.
CHANZO:Gari la matangazo la Chadema
CHANZO:Gari la matangazo la Chadema