Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Ilemela jijini Mwanza kupitia Chadema bwana Ezeckia Wenje baada ya kusoma ufisadi uliopo kwenye ripoti ya CAG amelazimika kumkumbuka aliyekuwa rais wa tano wa nchi yetu kwamba angekuwepo wote waliotajwa kwenye hiyo ripoti angeshawatumbua tayari.