Inaonekana mlimbwende muigizaji anajifua kutinga Big Brother Africa na anaomba ushauri. Sijui sana vigezo wanavyotumia wapigakura BBA wakilinganisha ushiriki wa mtu na tabia yake. Mnaomjua Wema mngemshauri nini?
Mi nadhani kinacho-matter BBA not so much kuhusu mambo binafsi kama ya Bhoke unayosema cacico. What matters ni openness ya mtu na jinsi anavyohusiana na kujichanganya na wenzake mjengoni. Bhoke wasn't someone who could put up easily with others; I mean she was a little bit reserved to herself. Karen alionekana kama anapenda sana kale kamchezo, wenzake wanamsema alikuwa mchafu/ananuka, alikuwa anapenda kutembea uchi kila wakati... lakini kilichomfanya watu wampende pamoja na vijimambo hivyo jinsi alivyokuwa si mnafiki, yuko open, hana hila na mambo kama hayo.
Swali linabaki; Je, Wema anauwezo wa kusocialize kiasi gani, uwezo wa kuwa open kiasi gani, uwezo wa kutokuwa artificial, na mambo kama hayo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.