bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Nisikilizishe...
Last edited by a moderator:
Nisikilizishe...
Hahaha huoni na mi namwambia anaiskilizishe?Mchina unazingua NN...
@ bht niambie alichoweka Ngabu.
Nisikilizishe...
Naona kideo tu sauti nehi...Na wewe mchina wako anazingua?
Huyu kama hajatumwa basi akili zake na za wema ni mapacha,!
Si wee na mwenzio SL wanoko wanoko mmemkimbiza...Haswaaaaa.....naona ameingia mitini
Hehehe! Kwani baba mtoto yako ni muzungu weye?...
Akikukubalia na mimi nakuiga lol.
Naona kideo tu sauti nehi...
Maisha yake ya baadaye yatamgharimu kweli kweli...There is sooooooooo! much drama kwa wanawake wa kibongo and them called 'stars' wa kibongo mpaka unashangaa. Blogs zao nyingi ni kutukanana mwanzo mwisho.Kuna blog zingine unashangaa kama zinaelimisha au zinabomoa. Upendo baina yetu wanadamu umepotea kabisa hasa wanawake. Mimi sioni kwa nini issue ya diamond na wema iwe issue ya kujaza magazeti nao waandishi wanakosa kweli kazi.....eti mpaka radio nazo wanazungumzia hii issue hawa watu wanakosa uelewa kweli....hawajui hata watoto wadogo wanasikiliza hizi radio wanachosikia ni uchafu uliokithiri kwa jamii yetu.aisee huyu mwanadafada ataolewaga kweli?
Si wee na mwenzio SL wanoko wanoko mmemkimbiza...
Cheka mwaya, maisha ndo haya haya tu ya nini uote wrinkles ungali mbichiNN, SL & bht mnanifanya mm nionekane kama jinga flani hiviii hapa nilipo yani nachekaa kama mjinga Mungu wangu naona na asthma inataka kunibana! Nimecheka sana jioni ya leo loooh!
Shukrani za dhati zimuendee muke ya muzungu na mfugo wake wa kwapani maana ndio umesababisha haya yote kwa jioni ya leo.
ila lips za wema magoli tuache yote
Lol...bht usikute kichaka kina siri sie hatujaigundua jamani, manake mie mbona hainiingii akilini tena haswa nikiona mdada ana kichaka!
Labda kweli lol... Au wewe unaonaje?huenda kinaongeza NAKSH kwenye MAHABA
Cheka mwaya, maisha yenyewe haya wala hayatoshi kugawa muda wa kucheka na kununa...NN, SL & bht mnanifanya mm nionekane kama jinga flani hiviii hapa nilipo yani nachekaa kama mjinga Mungu wangu naona na asthma inataka kunibana! Nimecheka sana jioni ya leo loooh!
Shukrani za dhati zimuendee muke ya muzungu na mfugo wake wa kwapani maana ndio umesababisha haya yote kwa jioni ya leo.
Hehehe! Kusutwa tu? Kwani siku hizi ameacha yale matisho ya kuua?...akija utasikia namnukuu 'wabongo kazi umbea tu, hamna kazi ya kufanya, mie ndio mana sitaki mazoea na wabongo, kampani yangu wazungu tupu' mwisho wa kunukuu lol...Cheka mwaya, maisha ndo haya haya tu ya nini uote wrinkles ungali mbichi
Heheee hao ndo macelebrity...chezeiya muke ya mUzungu wewe...akija hapa mi najikana mwenyewe maana tutasutwa tuwe wadogo kaa sisimizi