Kurejea kwa Bdozen kwenye kipindi cha XXL cha Clouds Fm kunaenda kurejesha mvuto wa kipindi hicho

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,050
10,495
Sometimes inabidi tukubali kuna watu mapengo yao hayana replacement kutokana na uwezo extra walionao.

Radio Free Africa ilipoteza mvuto baada ya kuachana na waandishi wao ambao hata leo hii ni ngumu kuwapata kwenye tasnia watangazaji ambao walikuwa wana vipaji kweli wanajua kile wanachokifanya na wanakifanya katika ubora wa hali ya juu.

Tangu kuondoka kwa Bdozen Clouds kwenye kipindi cha XXL kuna vitu vilikuwa vinamiss kelele zilikuwa nyingi kuliko ufanisi wa kazi jumlisha ukosefu wa ubunifu ni wazi kipindi kilikuwa kinapumulia mipira kurejea kwake ni jambo la msingi tunaimani anaenda kurejesha kipindi katika ubora wake.

Welcome Back Bdozen.
 
Kama n hivyo mbona alienda efm na alipoa kabisa? Huko alikokuwa nn kilimshinda kuwika? Na kama n mbunifu Kwan efm haiiitaj ubunifu? Mbona hakua apply ili abaki kua relevant? Yani hap na kama ulitoka nyumbani kwa gubu lako mwenyewe halafu uje kuomba kurudi wakati hukufukuzwa
 
Huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote Bora hata Adam mchomvu anachangamsha kipindi kwa stori zake.

Sijawahi muelewa huyo dogo Kuna watu wasipokuwepo kwenye kipindi unaona kweli kipindi kimepoa ni sawa na kukosekana mussa Hussein kwenye kipindi Cha jahazi clouds huwa naona kipindi hakina mvuto na huwa sisikilizi
 
huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote Bora hata Adam mchomvu anachangamsha kipindi kwa stori zake.sijawahi muelewa huyo dogo Kuna watu wasipokuwepo kwenye kipindi unaona kweli kipindi kimepoa ni sawa na kukosekana mussa Hussein kwenye kipindi Cha jahazi clouds huwa naona kipindi hakina mvuto na huwa sisikilizi
Dozen ni dogo?
 
Huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote Bora hata Adam mchomvu anachangamsha kipindi kwa stori zake.

Sijawahi muelewa huyo dogo Kuna watu wasipokuwepo kwenye kipindi unaona kweli kipindi kimepoa ni sawa na kukosekana mussa Hussein kwenye kipindi Cha jahazi clouds huwa naona kipindi hakina mvuto na huwa sisikilizi
Dogo?........😂😂

Nahisi jamaa atakuwa 40+
 
Kama n hivyo mbona alienda efm na alipoa kabisa? Huko alikokuwa nn kilimshinda kuwika? Na kama n mbunifu Kwan efm haiiitaj ubunifu? Mbona hakua apply ili abaki kua relevant? Yani hap na kama ulitoka nyumbani kwa gubu lako mwenyewe halafu uje kuomba kurudi wakati hukufukuzwa
Mengine sitaki kuyagusia, lakini binafsi sioni kama kuna ubaya kurudi kufanya kazi sehem ambayo uliwahi kufanya kazi hapo kabla.
 
Kama n hivyo mbona alienda efm na alipoa kabisa? Huko alikokuwa nn kilimshinda kuwika? Na kama n mbunifu Kwan efm haiiitaj ubunifu? Mbona hakua apply ili abaki kua relevant? Yani hap na kama ulitoka nyumbani kwa gubu lako mwenyewe halafu uje kuomba kurudi wakati hukufukuzwa
Unamaanisha nini kusema alipoa kabisa?
 
Huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote Bora hata Adam mchomvu anachangamsha kipindi kwa stori zake.

Sijawahi muelewa huyo dogo Kuna watu wasipokuwepo kwenye kipindi unaona kweli kipindi kimepoa ni sawa na kukosekana mussa Hussein kwenye kipindi Cha jahazi clouds huwa naona kipindi hakina mvuto na huwa sisikilizi
Adam Mchomvu asiyejua kipi cha kusema kwa wakati gani na kwa hadhira ipi unamlinganisha na Bdozen? Unazungumzia stori za kihuni? Sio kila mpenda burudani ni mhuni kuna watu wenye staha zao ambao wanasikiliza vipindi vya mchana.
 
Back
Top Bottom