itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 209
- 71
Wana JF
Siku nzima sasa naona website ya Afya imekuwa Hacked. sasa najiuliza hawa watu wa IT wameshindwa kulifanyia kazi suala hili? Pia naomba kama kuna mtu ana tetesi za Selection ya walioomba kusoma vyuo vya wizara ya afya kama zimetoka au zimekaribia kutoka.
Siku nzima sasa naona website ya Afya imekuwa Hacked. sasa najiuliza hawa watu wa IT wameshindwa kulifanyia kazi suala hili? Pia naomba kama kuna mtu ana tetesi za Selection ya walioomba kusoma vyuo vya wizara ya afya kama zimetoka au zimekaribia kutoka.