Lenin23
Senior Member
- Feb 9, 2022
- 138
- 218
Sawa haina shida ๐๐๐Hela zenu tumetumia kufanyia ukarabati mitambo ya umeme. Ila tutarudisha
Sawa haina shida ๐๐๐Hela zenu tumetumia kufanyia ukarabati mitambo ya umeme. Ila tutarudisha
...Kumbe Diaspora mmeishafahamu Neno 'Maokoto' ?? ...ama uko Bongo, Mkuu ?Mimi naishi ughaibuni (Diaspora) ila nimekuwa mwekezaji mzuri kupitia taasisi ya uwekezaji inaitwa UTT ipo hapo kwetu bongo na nimejiunga na mfumo wa kupokea gawio la faida kila mwezi uitwao BOND fund na sasa nimeshaweka zaidi ya milini 100 sasa mpaka muda huu nataka kwenda kulala akili inagoma kabisa toka juzi nimejaribu kuingia kwenye app ya UTT mara kadhaa kuangalia maokoto inani-logout automatically nikaona nipoe kidogo ila presha iko juu sijui kwanini muda huu nikaona nijaribu kuingia kwenye website yao naona pia site haipo hewani aisee sasa hapa nahisi kupagawa sijui sijui shida nini au ndio yale mambo ya deci yanataka kuhamia huku UTT.
Ambao mpo huko Tanzania naomba mfuatilie hili suala natamani kufahamu kama tatizo lipo upande wangu au lipo upande wao kiufundi hapa naona damu inakwenda mbio kweli hata kula nimeshindwa. Asanteni
View attachment 2765950
Genereta inaweza kugoma kuwaka, ila hela zipo salama, msiwe na wasi wasiDuuh umeme ukikatika ndio website nayo yapotea hewani? Watakuwa hawapo serious
...Kumbe Diaspora mmeishafahamu Neno 'Maokoto' ?? ...ama uko Bongo, Mkuu ?
Kalynda, Mr. Kuku, JATU na QNETSerikali ipo kazini hamuwezi kupigwa
Achana watoto wanajiandikia, wanajua kuwa website inawashwa na umemeDuuh umeme ukikatika ndio website nayo yapotea hewani? Watakuwa hawapo serious
Duuh, huyu naye huenda anaitwa baba.Tayari mr kuku again
Weka hapa ushahidi wa hizo pesa unazodai umeweka.
Kwa laki 5 kwa mwezi utapata gawio la elfu 5Hiv huko gawio ni kiasi gani?
Nikiweka Laki 5
Website ipo hewani na huduma zipo kama kawaida wacha wasiwasi.
Hebu bofya tena hapa ๐๐๐๐๐ https://www.uttamis.co.tz/