Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

Status
Not open for further replies.
Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.

mwenyewe nashangaa, sijaona tusu, katoa hoja zake labda kama kadanganya mlete hoja za kumpinga.
 
Last edited by a moderator:
Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.
ritz umeongea kwa kuangalia hio report lakini hujaangalia uhalisia hebu niambie kama uliona vurugu za uchaguzi wa juzi kule pemba namna wafuasi wa cuf na ccm walivyopigana mimi binafsi niliangalia ch 10 jmosi usiku kipindi cha kutoka zanzibar ...sasa nini maana ya serikali ya muungano wakati wananchi wanapigana kivyama?
 
hayo sio matusi ndio ukweli chama cha chadema wana roho mbaya, wanasumbuliwa na udini na ukabila.

kabila gani? Dini gani? Vipi hii imekaaje marais wote watano wa Muungano na kakisiwa kadogo ka Zenj ni waislam! Huu vipi?
 
Matusi mengine haya ya sisiemu A

asiye na nauli ya kivuko apige mbizi-Magufuli

Cuf ni cccm B-C hakuna asiye fahamu hilo.

hayo sio matusi ndio ukweli chama cha chadema wana roho mbaya, wanasumbuliwa na udini na ukabila.
 
Hakika hii serikali ya umoja Cuf hawaitaki lakini walisha ingia contract. Refer to "law of marriage"

ritz umeongea kwa kuangalia hio report lakini hujaangalia uhalisia hebu niambie kama uliona vurugu za uchaguzi wa juzi kule pemba namna wafuasi wa cuf na ccm walivyopigana mimi binafsi niliangalia ch 10 jmosi usiku kipindi cha kutoka zanzibar ...sasa nini maana ya serikali ya muungano wakati wananchi wanapigana kivyama?
 
Mkuu Ritz tuwe wakweli,hivi kweli kiongozi unaweza kutumia lugha ya kihuni hivyo? Hebu weka siasa pembeni na irudie tena hiyo makala.

Kumbuka Dr Slaa, naye huwa anasima jukwaani na kusema hawawezi kufanya siasa na CUF kimsingi wameolewa na CCM wewe unategemea Duni naye akae kimya sababu nyie mnamuheshimu Dr Slaa...safari hii tutasikia mengi huyo Juma Duni mtamtambua kwenye siasa za maneno.
 
Kumbuka Dr Slaa, naye huwa anasima jukwaani na kusema hawawezi kufanya siasa na CUF kimsingi wameolewa na CCM wewe unategemea Duni naye akae kimya sababu nyie mnamuheshimu Dr Slaa...safari hii tutasikia mengi huyo Juma Duni mtamtambua kwenye siasa za maneno.

Acha uongo wako.Weka jamvini clip ya hayo maneno ya Dr Slaa.
Kwa lugha aliyotumia Duni hana tofauti na mvuta bangi.
 
Kwa mara ya kwanza leo naenda kwenye vibanda vya magazeti Azikiwe nikanunue nakala yangu ya Tanzania Daima kuna maneno "Kuntu"
 
namuheshimu sana waziri duni lakini natofautiana nae tu pale anapo desplayed chuki yake kena CUF kwa chadema. Hapa ningemuheshimu kama angezungumzia watanzania bila kujali vyama vyao, hii inaniuzi sana na inapoteza heshima yake kwangu
 
  • Thanks
Reactions: FJM
namuheshimu sana waziri duni lakini natofautiana nae tu pale anapo desplayed chuki yake kena CUF kwa chadema. Hapa ningemuheshimu kama angezungumzia watanzania bila kujali vyama vyao, hii inaniuzi sana na inapoteza heshima yake kwangu

Hakika huyu waziri amejivua nguo.
 
Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.

Unakanyagwa
 
Last edited by a moderator:
Sishangai kwani hata neno "dhaifu" tuliwahi kuambiwa kuwa ni tusi. Tena waliosema ni hawa wachangiaji humu humu!!
Sometimes siwaelewi watanzania! Kwa nini tumekuwa washabiki wa kila kitu?? Huu ushabiki una faida gani ambayo binafsi sijaifahamu?
 
hayo sio matusi ndio ukweli chama cha chadema wana roho mbaya, wanasumbuliwa na udini na ukabila.
ukiona mtu anajadili dini au ukabila,huyo ni mtu aliyeishiwa hoja na aliyefirisika kichwani - J.K.Nyerere (kwa hiyo jitafakari tena mkuu)
 
Asante mh. Duni; Chadema ni matapishi tu hayazuii watanzania kula mpunga wetu; wanafiki na wazandiki wapo Chadema; mh. Duni Chadema ikulu wataisoma Tanzania daima; wakitaka wajenge ikulu yao Arusha au Hai tutawapa michoro ya magogoni

Jenga hoja na sio viroja mkuu
 
Sishangai kwani hata neno "dhaifu" tuliwahi kuambiwa kuwa ni tusi. Tena waliosema ni hawa wachangiaji humu humu!!
Sometimes siwaelewi watanzania! Kwa nini tumekuwa washabiki wa kila kitu?? Huu ushabiki una faida gani ambayo binafsi sijaifahamu?

Mkuu unaona maneno aliyotumia huyu Waziri ni sahihi kutolewa na mtu wa umri wake achilia mbali cheo chake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom