na ccm itaolewa na nani? au CHADEMA?Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.
na ccm itaolewa na nani? au CHADEMA?Molemo,
Nimepitia hiyo makala Juma Duni, kawaeleza ukweli Chadema wala hakuna hata tusi moja, ngumu kumeza hiyo ndio faida ya vita vyenu mwisho wa siku wote mtaolewa na CCM.
Asante mh. Duni; Chadema ni matapishi tu hayazuii watanzania kula mpunga wetu; wanafiki na wazandiki wapo Chadema; mh. Duni Chadema ikulu wataisoma Tanzania daima; wakitaka wajenge ikulu yao Arusha au Hai tutawapa michoro ya magogoni
hayo sio matusi ndio ukweli chama cha chadema wana roho mbaya, wanasumbuliwa na udini na ukabila.
cuf= mke mkubwa wa ccm full stop
asilimia 99.5% viongoz wa chadema ni wakristo tena ni mapadri na wachungaji hivyo chadema ni chama cha wakristo.Pia mashabik 99.9%ni makafir
Nayakumbuka maneno ya Ismal Jussa baada ya CUF kumiminwa uchaguzi wa Uzini: "Kuanguka kwetu Uzini nilikutegemea, sababu Uzini ina wakristo wengi wamehamia kutoka bara"
Kweli CUF sio chama cha kidini. Jusa alikosea tu kidogo kutoa siri