Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,951
- 54,252
Lugha za mazoea/mtaani zina usumbufu na kero sana kwa mtu anayependa lugha itendewe haki.Kwa mfano kuna neno hospitali hutamkwa "sibitali" au "siptali".Mazoea yana tabu yake ila tusijitahidi kuzoea makosa ya dhahiri.