Waziri wa Afya hajui Kiswahili vizuri

Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi

Kwa kuwa sio waziri wa kiswahili na kiingereza basi hamna shida kubwa.
 
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi
Kwa sasa hatutafuti kiswahili kwake. Tunataka atuletee mageuzi katika sekta ya afya. Haya mambo ya kuwa waswahili saaana hayatusaidii.
 
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi
Kwani uwaziri unahusiana vipi na kutofahamu kiswahili vizuri? Wakati mwingine ndani ya jf kuna watu mbumbumbu sana!
 
462925318_cute_kitten_crying_xlarge.jpeg
 
Kwa sasa hatutafuti kiswahili kwake. Tunataka atuletee mageuzi katika sekta ya afya. Haya mambo ya kuwa waswahili saaana hayatusaidii.
Kwani uwaziri unahusiana vipi na kutofahamu kiswahili vizuri? Wakati mwingine ndani ya jf kuna watu mbumbumbu sana!
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa kwenye tasnia ya lugha yetu adhimu, kama kuna watu kama nyie ambao hamjui umuhimu na nguvu ya lugha sasa napata picha kwanini Kama taifa tumefika hapa tulipo! Ila sio kosa lenu ni makuzi mazoea na utumwa wa kifikra... Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa pole sana
 
Mdogo wangu Ummy Mwalimu ni Mwanasheria. Ana-act tu kuwa hajui Kiswahili. Si angetumia upasuaji badala ya kutaka kusema Operation? Ummy ana mambo sana.

Mzee Tupatupa
Haya mapya. Kwa hiyo mwanasheria wamempa uwaziri wa Afya?
 
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi

Phew kweli anaboa kumsikiliza saana ila wakati nasoma lugha ya Kiswahili nilipata sikia kwamba wachafuzo wa Lugha ni watu mashuhuri kama hao pia na vyombo vya habari....kwa wapenzi wa kiswahili walitegemea ITV na vyombo vyote vya habari waliotoa habari yake wangeomba radhi kwa kufanya maboresho kwamba siyo OPRESHENI (kimatamshi) bali ni OPARESHENI (kimatamshi)

Wakati mwingine Lugha mama hutuathiri sisi na ishu za lahaja nk...
Mfano mwaka 2008 nikiwa katika Multi Purpose Hall chuo cha kilimo SUA huko mjini Morogoro nikiwamshiriki wa kusikiliza Semina ya Sera ya Vijana na Maswala ya Ujasiliamali pana mwezeshaji mmoja toka wizara ya Kazi na Ajira enzi hizo alikuwa akitamka neno ONLY kwa kusikika HONORE ilitupashida sana kuelewa alimaanisha nini tulipokuwa tukimsikia kwa mara ya kwanza.

#UmmyMwalimu

Wataalamu wa Lugha mtusaidie, matamshi sahihi OPERATION hutamkwaje kiswahili ni "Opresheni" au "Oparesheni"!!!
 
Last edited:
Back
Top Bottom