Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umejiandikisha,kadi itunze kabatini na onyesha hasira zako "October 25"
Lipi la kusema? subiri 25th oct utaona "mneno" wangu!Waziri Dr. Charles Tizeba makamu wa Mwakyembe ambaye amekuwa akiishi katika hoteli ya nyota 4 ya New Africa aondoka baada ya bili kufikia milioni 100.
Hiyo ni bili ya malazi na mlo wa asubuhi tuu achana na buffet na vinywaji!
Jamani huyu waziri ni mzalendo kweli wa kuishi hotelini hadi kufikia kiasi hicho cha pesa? Sina hamu jamani sijui wadau mnalipi la kusema.
Source ni The Guardian on Sunday habari na Floriani Kaijage!
Hii yote ni matokeo ya sera za serikali iliyopo madarakani, yaani walijimilikisha nyumba za serikali zilizotokana na jasho/kodi ya kila mtanzania na kuwafanya wakoloni na nyerere wajinga. Serikali si ili ahidi kujenga nyingine?
Waziri Dr. Charles Tizeba makamu wa Mwakyembe ambaye amekuwa akiishi katika hoteli ya nyota 4 ya New Africa aondoka baada ya bili kufikia milioni 100.
Hiyo ni bili ya malazi na mlo wa asubuhi tuu achana na buffet na vinywaji!
Jamani huyu waziri ni mzalendo kweli wa kuishi hotelini hadi kufikia kiasi hicho cha pesa? Sina hamu jamani sijui wadau mnalipi la kusema.
Source ni The Guardian on Sunday habari na Floriani Kaijage!
halafu wanataka tulipe kodi kumbe niwakalipie bili za kukaa mahotelini kwani huyo naye hakuchukua zile nyumba za serikali jamani mie kodi basi uuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiWaziri Dr. Charles Tizeba makamu wa Mwakyembe ambaye amekuwa akiishi katika hoteli ya nyota 4 ya New Africa aondoka baada ya bili kufikia milioni 100
Wakubwa zetu hawana tofauti na fisi tena mwenye roho mbaya. Fisi ni mroho lakini akishiba hana ubaya na mtu. Hawa mafisi wetu ni waroho na wana roho mbaya. Huoni bosi wao anavyokesha kiguu na njia wakati waliomchagua wanakufa kwa kukosa asprin. Wetu si viongozi bali matapeli wa kawaida wanaopaswa kutupiwa mawe kila wapitapo.
We jamaa Mungu kashawaita wanajibu hukoMkapa na Magufuli ndiyo wanaweza kujibu hili
Mafisadi PAPA yalikua yanalindana hayo balaa na kujifanya wakali na mizalendo.We jamaa Mungu kashawaita wanajibu huko