KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Mimi nafikiri mnamuonea bure Tizebwa, hajapewa nyumba, alikuwa hakai Dar. Sasa afanyeje? Tulalamikie Serkali ambayo iliuza nyumba kana kwamba Serkali nayo inastaafu lakini si kwa mtu anayestahili kupewa nyumba na hajapewa.
sasa baada ya kuondoka amenda kuishi wapi ambako kulishindikana mwanzo