Waziri Shamsi Vuai Nahodha anaishi New Africa Hotel $280 per day!

katika kuonyesha jinsi serikali isivyo na uchungu na pesa zetu,mawaziri saba wanaishi hotelini kwa muda wa miezi 7 sasa kutokana na kukosa nyumba za serikali

Kuna huyu naibu waziri wa fedha toka Zanzibar anaitwa nani vile? yupo zake pale Courtyard hotel na familia yake yoote vyumba vitatu kati ya $150 na $200 per day per room. Ninamuonea huruma sana mwanangu kwasababu mpaka atakapoanza kujitegemea nchi itakuwa haikaliki hii.
 
Inawezekana ndo njia yenyewe ya kuyafaidi matunda ya vyeo vyao. Mantiki ya kuuziana nyumba na baadae kuishi hotelini kwa gharama iko wapi. Kweli serikali haina uchungu na jasho la wanyonge wa nchi hii. Siamini kabisa kama hao mawaziri wapo kwa ajili ya masilahi ya wengi ila kwa ajili ya kuifaidi dunia.
 
Jamaa anatanua pale New Africa Hotel huku akibonyeza kizenji bonyeeeeeeeeeeeeeeeee room moja ni $160 kwa siku dah
 
Watanzania naona tunakoelekea sipo kabisa, naona kama uzalindo umepotea kabisa.hili la kukaa hotelini kwa miezi saba wakati nyumba za serikali tumewauzia na wamepangishia wageni. hii haijakaa sawa. Wengine wananyumba zao nzuri tuu ila wanaziacha wanaamua kuja kukaa hotelini kisa ni waziri na serikali inalipa. kuna haja ya kuwa wazalendo kidogo, bila uzalendo hatutakaa tuendelee wataendelea kunafaika wachache. Kuna haja ya kuanza kufikiria kurudisha nyumba za serikali walizojiuzia(wizi mtupu). this one will not take long kabla serikali hajarealise kwamba kuna haja ya kuzirudisha zile nyumba...
 
Watanzania naona tunakoelekea sipo kabisa, naona kama uzalindo umepotea kabisa.hili la kukaa hotelini kwa miezi saba wakati nyumba za serikali tumewauzia na wamepangishia wageni. hii haijakaa sawa. Wengine wananyumba zao nzuri tuu ila wanaziacha wanaamua kuja kukaa hotelini kisa ni waziri na serikali inalipa. kuna haja ya kuwa wazalendo kidogo, bila uzalendo hatutakaa tuendelee wataendelea kunafaika wachache. Kuna haja ya kuanza kufikiria kurudisha nyumba za serikali walizojiuzia(wizi mtupu). this one will not take long kabla serikali hajarealise kwamba kuna haja ya kuzirudisha zile nyumba...


280x1500x7x30=88,200,000

Kidumu CCM
 
Ukiona bajeti ya dharura kwenye wizara ya mambo ya ndani, ujue hizo ndio kazi zake. Inasikitisha sana.
 
katika kuonyesha jinsi serikali isivyo na uchungu na pesa zetu,mawaziri saba wanaishi hotelini kwa muda wa miezi 7 sasa kutokana na kukosa nyumba za serikali

sasa huyu alie saini mkataba huu na anaeishi hapo hotel ndo wakamatwe wakajibu kesi arusha kwa kosa la kuhujumu
uchumi
 
Tujifunze kutokana na makosa tusiwape tena 2015......akalime karafuu kwao huko
......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian, ni kwa nini mnakuwa na fikra za mkato hivi!!!??? leo ni 2011 na wewe unadhani 2015 ni karibu hivyo!!?? Kila kitu si kitakua kimeisha!!??
Kwenye Maandiko wanasema siku moja ni sawa na miaka 1,000 kwa Mungu, wewe miaka minne na nusu iliyobaki unaifanya kama siku moja? ...subiri na utavuna magunzi!
 
kweli nimeamini bila mkoloni bado tungetembea uc#i kwani waafrica bado sana! JK must resign:shut-mouth:
 
sasa kwa nini waliuza nyumba zao za serikali hv unajua hii nchi siyo kabisa na muda wote huo walikuwa wanafanya nini kutokujenga nyumba za hao mawaziri upuuzi mtupu alafu tumekuwa ni watu wa kutoa lawama hapa jf tu badala ya kutoka tukaandamana kupinga ujinga huu
...Mkuu unachosema ni kweli kabisa...unanikumbusha kuna jamaa alisema hii nchi hata ukimchukua mbwa ukampa mafunzo vizuri kama wale wa ulaya wanaoweza kutumwa super market na wengine mpaka kuwaongoza njia mabosi wao vipofu basi hata hapa anaweza kufanya kazi vizuri tu!!...nadhani kuna tatizo kwa hawa watawala wetu!!:becky:
 
katika kuonyesha jinsi serikali isivyo na uchungu na pesa zetu,mawaziri saba wanaishi hotelini kwa muda wa miezi 7 sasa kutokana na kukosa nyumba za serikali

Mkulo kawaambia serikali ina pesa za kutosha nyie mkabisha sasa huu ndiyo ushahidi tosha.

Hebu nipige hesabu zangu za kitanzania nione jumla yake itakuwa ngapi.

Dola 280 kwa siku - kwa mwezi ni Dola 8,400
Ukibadilisha kwa pesa za kitanzania kwa rate ya 1500 inakuwa 8,400 X 1500 = Tshs 12,600,000/= kwa mwezi

Nasikia amekaa miezi saba so far 12,600,000 X 7 = 88,200,000/=

Nasikia wapo mawaziri 7 lets take the same rate inakuwa 88,200,000 X 7 = 617,400,000/=

SI PESA NYINGI KWA NCHI KAMA TANZANIA teh teh teh ( According to MKULO)
 
Mkulo kawaambia serikali ina pesa za kutosha nyie mkabisha sasa huu ndiyo ushahidi tosha.

Hebu nipige hesabu zangu za kitanzania

Dola 280 kwa siku - kwa mwezi ni Dola 8,400
Ukibadilisha kwa pesa za kitanzania kwa rate ya 1500 inakuwa 8,400 X 1500 = Tshs 12,600,000/= kwa mwezi

Nasikia amekaa miezi saba so far 12,600,000 X 7 = 88,200,000/=

Nasikia wapo mawaziri 7 lets take the same rate inakuwa 88,200,000 X 7 = 617,400,000/=

SI PESA NYINGI KWA NCHI KAMA TANZANIA teh teh teh ( According to MKULO)

wala sishangai maana hata MBA degree yake ni feki
 
Back
Top Bottom