Waziri Shamsi Vuai Nahodha anaishi New Africa Hotel $280 per day!

Ninguwa mimi JK kupunguza matumizi ya serikali kwanza ningefuta wakuu wa mikoa na wilaya wote, kisha nazipa halmashauri za miji nguvu kubwa za kiutawala. hapo ningeokoa ma billion ya shillingi na kuyaelekeza kwenye huduma za kijamii kama madawa hospitali, vifaa vya kufundishia, marupurupu na mishahara ya walimu, madaktari na manesi pamoja na maji & umeme.

Hawa jamaa sioni wanafanya kazi gani kwa kweli - ni mzigo tu kwa mlipa kodil
 
Nimekuwa nikiikwepa hii thread toka asubuhi...khaa sijui kwanini nimeisoma..ngoja niende tu home nikalale Ishaniaribia siku yangu..Thats why i hate mondays
 
<font size="3">Ninguwa mimi JK kupunguza matumizi ya serikali kwanza ningefuta wakuu wa mikoa na wilaya wote, kisha nazipa halmashauri za miji nguvu kubwa za kiutawala. hapo ningeokoa ma billion ya


shillingi na kuyaelekeza kwenye huduma za kijamii kama madawa hospitali, vifaa vya kufundishia, marupurupu na mishahara ya walimu, madaktari na manesi pamoja na maji &amp; umeme.</font><br />
<br />
<font size="3">Hawa jamaa sioni wanafanya kazi gani kwa kweli - ni mzigo tu kwa mlipa kodil</font>
<br />
ok lini sasa utagombea raise wewe tukupe kula?ila nina uhakika utasahau yote haya badala yake utajenga jumba la familiar yako bahari beach na kunua vx yako ya watoto na ya mkeo na stalet ya housegirl
ndio miafrika tulivyo
<br />
 
<font size="4"><font color="blue">Mkulo kawaambia serikali ina pesa za kutosha nyie mkabisha sasa huu ndiyo ushahidi tosha.</font></font><br />
<br />
<font size="4">Hebu nipige hesabu zangu za kitanzania nione jumla yake itakuwa ngapi.</font><br />
<br />
<font size="4">Dola 280 kwa siku - kwa mwezi ni Dola 8,400 </font><br />
<font size="4">Ukibadilisha kwa pesa za kitanzania kwa rate ya 1500 inakuwa 8,400 X 1500 = Tshs 12,600,000/= kwa mwezi</font><br />
<br />
<font size="4">Nasikia amekaa miezi saba so far 12,600,000 X 7 = 88,200,000/=</font><br />
<br />
<font size="4">Nasikia wapo mawaziri 7 lets take the same rate inakuwa 88,200,000 X 7 = 617,400,000/=</font><br />
<br />
<font size="4">SI PESA NYINGI KWA NCHI KAMA TANZANIA teh teh teh ( According to MKULO)</font>
<br />
<br />
umesahau hapo wanakula pia mara tatu kwa siku na hela ya mafuta na posho kila siku ongezea kwenye hesabu yako ili tusikilizie maumivu vizuri.
 
......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian ......Tanzanian, ni kwa nini mnakuwa na fikra za mkato hivi!!!??? leo ni 2011 na wewe unadhani 2015 ni karibu hivyo!!?? Kila kitu si kitakua kimeisha!!??
Kwenye Maandiko wanasema siku moja ni sawa na miaka 1,000 kwa Mungu, wewe miaka minne na nusu iliyobaki unaifanya kama siku moja? ...subiri na utavuna magunzi!

Siyo magunzi ila MAGAMBA WALIYOYAVUA
 
Haya ndio matumizi ya zile pesa za dharura kwenye bajeti ya serikali. Maana huwa hatuambiwi ni dharura gani hizo zinatengewa mamilioni kila mwaka.
 
katika kuonyesha jinsi serikali isivyo na uchungu na pesa zetu,mawaziri saba wanaishi hotelini kwa muda wa miezi 7 sasa kutokana na kukosa nyumba za serikali
Wewe bisha sasa hivi lakini nakuhakikishia miaka 80-120 ijayo hili nalo litajumuishwa kwenye maajabu ya dunia (kama ilivyo Serengeti na Ngorongoro). Si unajua watu waliishi ngorongoro miaka mingi bila kujua kuwa it was among the Wonders of the World!
 
Ukarabati wa ikulu bajeti ya mwaka huu ni 10 bilion Tshs,mwaka jana ilikarabatiwa kwa bilioni 7 na ushee,jamani tutaendelea kweli...
 
Viongozi wa nchi hii hawana akili, na kama wanazo zimeganda, kwani huyu Waziri inamaana mpaka leo hajajengaaaaa? au lazima aishi ktk nyumba za buree, shiiit
 
Kweli waloshika nchi ni wapu*bavu sana.... Gharama ya kukaa hotelini siku 10 ni zaidi ya kodi ya nhumba nzuri kabisa Diplomatic Masaki sasa si bora wangewapangia nyumba tu!! Yaani hii serikali ina watu wapu*bavu sijawahi kuwaona duniani kote nilikotembelea!! Naona sasa hii amani kuna watu wanaichezea.... sababu huu ukweli ndo unazidi kujaza hasira kwa vijana wanaoshinda vijiweni toka asubuhi mpaka jioni bila kujua watakula nini!!:confused2:
 
Magufuri(Dalali wa Nyumba za serikali) oyeeeee!
Mnamulaumu Magufuli buure,yeye alikuwa kama kiranja tu ambaye alitumwa na headmaster kutekeleza wajibu,hivi ungekuwa ni wewe mkuu wako wa kazi anakwambia fanya hivi wewe ungekataa ,na hasa mkuu mwenyewe akiwa haambiliki ,acha kaka Ben akisema ilikuwa ni directive,hakuna majadiliano,tusilaumu jumbe kufikisha mzigo laumu aliyemtuma huo mzigo,mawaziri mnaokaa kwenye hoteli za nyota 5 kwa siku pamoja na familia zenu HOYEEEEEE
 
Hivi kumbe kweli tanzania inatakiwa kukombolewa upya!
Ubadhirifu gani huu wa kifidhuri? Nasikia wengine wako blue peal hotel ubungo plaza!
"Ndumiku oya" kinyume.
 
Back
Top Bottom