Waziri Selemani Jafo: Shule za umma zimeboreshwa sana, shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa

Sasa ndo ujue wafuasi wa dikteta wote ni viazi. Unaijua kifaa kinachopima different pressure in liquid kinaitwaje? Jafo wewe!!
Pressure in liquid inapimwa na manometer. Utube unaweza kuiset ukaweka na rula ukaitumia kama manometer. Hata hivyo ni makosa makubwa kusema kuwa Utube ndo kifaa kinachotumika kupima in pressure in liquid.
 
Kweli matajiri wataishi kama mashetani. Kimsingi suala la kuelimisha watanzania ni jukumu la sekta ya umma Na binafsi. Unaposema umeboresha shule za umma kwa hiyo zile za binafsi zitakufa, unaoneka kuzichukia shule hizo. Kiuhalisia zilitakiwa kuboreshewa mazingira ili zifanye vizuri zaidi kwani top 10 kitaifa wao ndo wanashika. Isiwe ugomvi baina ya govt Na private wakati mnajenga Nyumba moja. Aisee, safari bado ndefu, tupumzike kidogo
 
Uko sahii mkuu yaani wakati shule za serikali wastani wa ufaulu wao ni 111,IV NA ZERO yeye ndio kwanza anapiga vita shule binafsi badala ya kuja na mikakati ya kujikwamua watokeje kwenye janga la kufeli kwa namna hiyo.
Tatizo ni kwamba hakuna chombo chochote chakumpinga nakumweleza uhalsia uliopo.wanaogopa pia watz ni wadanganyika hawana uwezo wakupambanua mambo.habari saivi ipo kwenye intanet na wenye uwezo wakuases ni wachache sna.tz hatuna vyombo vya hbari.vilivyopo ni type ya gazeti la uhuru.
 
Huwezi kukuza au kujenge uchumi imara kwa kuua sector binafsi!! Huo utakuwa ujinga!! Secta binafsi ni mhimu kwa ustawi Wa uchumi!! Serikali haiwezi kusimamia mamilioni ya wanafunzi!! Awamu hii inaweza Fanya vizuri je awamu zijazo zitaweza Ku sustain mafanikio ya awamu zilizopita? Tuache siasa kwa mambo mhimu katika Jamiii secta ya elimu na secta ya afya haitakiwi siasa hovyo!!
 
Yani hamna kitu kimekuja kuua Elimu ya Tanzania kama huu upuuzi wa inayoitwa Elimu bure. Yani Elimu imeporomoka sana awamu hii kuliko awamu yoyote ile

Huyo anayejitia mzalendo sana nchi nzim watoto wake wanasoma Feza halafu eti waziri anakuja kuongea upuuzi hapa.SHWAINI.
 
Huwezi kukuza au kujenge uchumi imara kwa kuua sector binafsi!! Huo utakuwa ujinga!! Secta binafsi ni mhimu kwa ustawi Wa uchumi!! Serikali haiwezi kusimamia mamilioni ya wanafunzi!! Awamu hii inaweza Fanya vizuri je awamu zijazo zitaweza Ku sustain mafanikio ya awamu zilizopita? Tuache siasa kwa mambo mhimu katika Jamiii secta ya elimu na secta ya afya haitakiwi siasa hovyo!!
Ukiongea hayo unaitwa mchochezi au sio mzalendo,Upuuzi mtupu nchi hii
 
Mtu anatamka bansel bana badala ya bansen bana....mnategemea ana nini ajuacho katika elimu?
 
NITAAMINI KAMA WATOTO WAO WATASOMA HZO SHULE ZA UMMA

Kwa mtu mwenye uwezo wa kiuchumi kama waziri, akimpeleka mwanae shule ya kata, basi ni uthibitisho tosha kuwa hayuko makini na masuala yenye umuhimu. Kama mama muuza mbogamboga sokoji anaweza kujibana na kumpeleka mwanae shule ya maana, huyu kigogo anayek9sa upeo iiasi hicho hatufai.
 
labda atuambie wanaye na wanasiasa wenzake na sie wote wenye viuwezo vidogo wapo shule zipi?

kwangu mie waboreshe kwanza maslahi ya walimu, ili soko liweze kuwa na mizania sawia.
 
Sasa zikipewa ruzuku si zitakuwa za umma? Ila pia kusema zinaboreshwa ili kuuwa za binafsi ni kuchemka maana malengo ni mamoja.

Natamani lengo liwe ni kuinua kiwango cha elimu Tanzania kiendane na mataifa mengine ulimwenguni na siyo lengo liwe ni kuuwa shule binafsi, kosa kubwa.

Wanatakiwa pia wajifunze kwa sekta binafsi wanawezaje, na wao waboreshe za umma.

Ila pia, natamaani mtaala wa kufundisha kiswahili primary ubadilishwe uwe kwa kiingereza.

Uwezo wa mtoto kushika vitu na kujifunza unaanza akiwa mdogo. Tunawakosesha watoto wetu uwezo wao wa kuja kushindana kimataifa kwa sababu ambazo hazina msingi.

Tupende tusipende kama tunataka watu wetu waweze kuwa na competition nzuri tuwaandae wakiwa wadogo.

Haingii akilin kiongozi huyo huyo anayengangana kiswahili kiwe shule za msingi lakini mwanaye anampeleka English medium. Its not fair at all kwa mtanzania mnyonge asiyeweza kumlipia mwanaye hizo English medium.
Mbona hospitali binafsi zinapewa subsidy na serikali
 
The Stig SHULE YA MAANA INA MAANA GAN? JAFO KASEMA WANABORESHA SHULE KUZIPIKU HZO UNAZOITA SHULE ZA MAANA. NDO MANA NIMESEMA, NTAAMIN KMA WATOTO WAO WATASOMA HZO ZA UMMA.. VIONGOZ WOTE HAWA ENZ ZA NYERERE WAMESOMA SHULE ZA UMMA UJUE.. KIPINDI HKO ELIMU ILIPEWA KIPAUMBELE
 
The Stig SHULE YA MAANA INA MAANA GAN? JAFO KASEMA WANABORESHA SHULE KUZIPIKU HZO UNAZOITA SHULE ZA MAANA. NDO MANA NIMESEMA, NTAAMIN KMA WATOTO WAO WATASOMA HZO ZA UMMA.. VIONGOZ WOTE HAWA ENZ ZA NYERERE WAMESOMA SHULE ZA UMMA UJUE.. KIPINDI HKO ELIMU ILIPEWA KIPAUMBELE
 
Back
Top Bottom