Waziri Selemani Jafo: Shule za umma zimeboreshwa sana, shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa

Jana kwenye kipindi cha ITV nilimsikia waziri Selemani Jafo akisema shule za umma zimeboreshwa sana hivyo anategemea shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa.

Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.

Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.

Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.

Hata mm kauli hii imenishangaza mno kutolewa na kiongozi wa cheo cha juu kama yy.Nini maana ya PPP?kama anajua kuwa serikali inawezafanya yote hayo basi ijenge na viwanda na ifanye biashara.serikali moja ya kazi zake ni kukusanya mapato na kujenga mazingira wezeshi ili kupanua wigo wa kodi na kama serikali hii hii inaombea sekta binafsi zife kwa kweli mm nashindwa kuelewa alikuwa anamainisha nn! kwa kijana kama yy ambaye najua kwa kiasi fulani anafahamu uchumi unaendeshwaje kuja na mbadala wa kuua sekta binafsi its awkward.namwondolea kuwa na sifa ya uwazir moja kwa moja.
 
Jana kwenye kipindi cha ITV nilimsikia waziri Selemani Jafo akisema shule za umma zimeboreshwa sana hivyo anategemea shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa.

Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.

Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.

Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.

hili litawezekana tu katika situation ya hivi hapa chini.
raisi ffoja
waziri mkuu ffoja
tamisemi ffoja
waziri wa elimu ffoja
wakuu wa mikoa wote ffoja
takukuru ffoja
igp ffoja
waziri wa polisi ffoja
wakurugenzi wa elimu wote ffoja
waalimu wakuu wote ffoja
ffoja
ffoja
ffoja
ffoja
ffoja
ffoj
ffo
ff
f
.
 
Hivi huyo dogo anataarifa kua wanafunzi wa shule anazoziongelea kuwa zimepiga hatua hadi leo wanafunzi wanakwenda na makopo pamoja na mafagio shuleni
 
Jana kwenye kipindi cha ITV nilimsikia waziri Selemani Jafo akisema shule za umma zimeboreshwa sana hivyo anategemea shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa.

Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.

Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.

Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.

Shule za serikali kwa style ya walimu ambao wamepuuzwa na serikali namna hii, na watoto wanaosoma hizo shule ambao wanalazimishwa kufaulu ili hali ni vilaza kama Jafo, mwambien Jafo arudi TZ maana anaongea kama yupo uhamishoni!!! Hizo shule zimeboreshwa kitu gani wakati takwim za mwaka jana zinaonyesha waliopata daraja la I-III ni wachache kiasi haifiki asilimia 30?
 
Jana kwenye kipindi cha ITV nilimsikia waziri Selemani Jafo akisema shule za umma zimeboreshwa sana hivyo anategemea shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa.

Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.

Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.

Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.


HABARI,
"eddy,
Kwani shule za Binafsi ni adui wa Serikali mimi najua Shule Binafsi au sekta binafsi ni mshirika mkubwa wa Serikali katika nyanja ya elimu,Sasa kama waziri anasema haya inamaana anatamani Wanafunzi wanaosoma kwenye shule binafsi wafeli ???.
Na Serikali kwa uhalisia haiwezi kutoa huduma zote yenyewe bila kuwepo sekta binafsi kuanzia Afya,Elimu,Kilimo,Nishati, N.K.

Kama kuna ukweli kwenye hili Waziri kwenye lazima aombe Radhi.

LUMUMBA
 
aingii akilin kiongozi huyo huyo anayengangana kiswahili kiwe shule za msingi lakini mwanaye anampeleka English medium. Its not fair at all kwa mtanzania mnyonge asiyeweza kumlipia mwanaye hizo English medium.
Sio huyo pekee mkuu,wako wengi wa aina hiyo kinachonishangaza zaidi ni kuona hata waalimu wa shule za umma wanawapeleka watoto wao English medium,sasa huyu waziri na wengine wa aina yake wanachuki na shule binafsi wanawivu na ufaulu wao badala ya kufurahia kuwa zinaitoa wizara ya elimu kimasomaso wao kila kukicha wangependa zife ili zibaki shule zileee zenye mazero lukuki ili watoto wengi wawe zero brain ili iwe rahisi kuwatawala hiyo ndiyo sera yao.
 
Yaani waziri mzima kwenye nchi ya watu milioni 50 unaamini kuwa ubora wako utaonekana baada ya aliyekuwa mbele ako kupotea!
Mkuu kula like mstari huu umeenda shule ausome huyo waziri na washirika wake waliomo humu.
 
Wakati shule za uma zinabishania chakula au kutokula kwa karne hii private wanajipanga kufuta daraja 3.Hi ni sawa na mbingu na ardhi.
Uko sahii mkuu yaani wakati shule za serikali wastani wa ufaulu wao ni 111,IV NA ZERO yeye ndio kwanza anapiga vita shule binafsi badala ya kuja na mikakati ya kujikwamua watokeje kwenye janga la kufeli kwa namna hiyo.
 
Na sijui hizo shule zao wanazoziita za vipaji wanafunzi kwa form five watawatoa wapi maana zinabeba wanafunzi wengi toka private ambako ndiko kunaongoza kwa ufaulu.
 
Ni kipindi hiki pia tumesikia wito wa kuondoa ufundishaji wa english medium ukipamba moto.
Acha waondoe tunarudi kuleeee miaka ya 90 tunapeleka watoto Kenya na Uganda wabaki na elimu yao ambayo haipatikani kwengine duniani isipokuwa TZ tu.
 

Soma hiyo, usipoelewa rudi shuleni kwako ukadai ada uliyolipa na fidia ya kupotezewa muda wako bila kukupa maarifa stahiki.

Sasa ndo ujue wafuasi wa dikteta wote ni viazi. Unaijua kifaa kinachopima different pressure in liquid kinaitwaje? Jafo wewe!!
 
Yeye mwenyewe badala ya kusema Test Tube kasema You tube halafu unategemea atakuwa na mawazo sahihi ya uboreshaji taaluma kweli?
 
Yeye mwenyewe badala ya kusema Test Tube kasema You tube halafu unategemea atakuwa na mawazo sahihi ya uboreshaji taaluma kweli?
 
Back
Top Bottom